Recent content by Gamba la Nyoka

  1. Gamba la Nyoka

    The Mask comes off! Israeli to expel Palestinians from Gaza and move in 1.2 Million Jew Into Gaza as part of the "Greater Israel Plan."

    Palestinians are not going anywhere. They can kill as many Palestinians as their evil souls suggest to them to do, but the Palestinians will die in that very soil
  2. Gamba la Nyoka

    GE2025 CCM kwanza na taifa baadae ya Humphrey Polepole

    Na Dr Mutatis Mutandis Nimefuatilia kiukaribu sana sakata hili linalomhusu ndugu Humphrey Polepole nilichoking'amua ni kuwa ndugu Polepole (wa leo) kwake CCM ndiye mzaliwa wa kwanza na Taifa ni mtoto wa kuasili (adopted child). Kwa hiyo mapenzi yake, roho yake, liwazo lake ni CCM kwanza...
  3. Gamba la Nyoka

    Kuelekea mdahalo wa wagombea uenyekiti CHADEMA: Medani ya ushawishi, nguvu ya kila mmoja

    Na Twahir Kiobya (The Man) Kipyenga cha nafasi ya uwenyekiti katika chama cha CHADEMA kimeshalia, na tunaambiwa kuwa kutakuwepo mdahalo wa wazi baina ya wagombea wa nafasi hiyo yaani Tundu Lissu na Freeman Mbowe. Hili ni jambo zuri maana linatoa fursa kwa wagombea kueleza malengo, dhamira na...
  4. Gamba la Nyoka

    Siasa za CHADEMA: Lissu kugombea uenyekiti ni mtego kwake?

    Hotuba ya Mbowe leo inatoa viashiria vinavyoendana na andiko hili.
  5. Gamba la Nyoka

    PreGE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA, Dar: Henry Kilewo: Tunamhitaji Mbowe, Lissu Tunamjua na Mbowe Tunamjua

    Hawa ni aina ya watu ambao Nyerere alisema kila alipotaka kung'atuka kuna watu walimwambia mzee endelea bila wewe nchi itayumba! Baadae mwalimu aligundua kumbe walikuwa wakitetea matumbo yao maana hawajui kama ajaye atawapa nafasi za uongozi tena!
  6. Gamba la Nyoka

    Siasa za CHADEMA: Lissu kugombea uenyekiti ni mtego kwake?

    Kabisa, inabidi asime alama za nyakati.
  7. Gamba la Nyoka

    Mbowe kakodi muziki ,kafunga matenti ,kajaza viti nyumbani ili wanachadema wakamuombe kugombea Tena ! Anafikirisha sana

    Ana watu wa kwenda kumuomba agombee, ila hana watu wa kuingia barabarani kumdai Deusdedith Soka
  8. Gamba la Nyoka

    Siasa za CHADEMA: Lissu kugombea uenyekiti ni mtego kwake?

    Leo nimeamua nimkome nyani giladi
  9. Gamba la Nyoka

    Siasa za CHADEMA: Lissu kugombea uenyekiti ni mtego kwake?

    Mbowe safari hii anagombea si kwa maslahi ya chama, bali kwa maslahi yake binafsi!
  10. Gamba la Nyoka

    Siasa za CHADEMA: Lissu kugombea uenyekiti ni mtego kwake?

    Kama hana nafasi ndani ya kamati kuu, na kukosa portfolio ya kuwa kiunganishi baina ya wanachi na chama itakuwa ni rahisi kwa maadui wake wa kisiasa ndani na nje ya chama kumpungizia ushawishi.
  11. Gamba la Nyoka

    Siasa za CHADEMA: Lissu kugombea uenyekiti ni mtego kwake?

    Na : Twahir Kiobya (The Man) Ni rasmi sasa Lissu anautaka uenyekiti ndani ya CHADEMA. Ametangaza nia yake kupitia vyombo vya habari na umma umesikia. Azimio hili la Lissu ni uamuzi mzito na ni la kihistoria ktk chama cha CHADEMA. Kama Mwenyekiti wa sasa ndugu Freeman Mbowe atagombea uenyekiti...
Back
Top Bottom