Chris unalipia mali ikishapakuliwa na kutunzwa bohari, unalipia kitu unachokiona.
Tatizo ni hawa wanaokutaka ulipie ndio mzigo upakiwe kwenye container huko ughaibuni.
Naandika haya nikiamini utayasoma kwakuwa wewe ni mmoja wa wanajukwaa JF
Sasa hivi nchini kuna makampuni mengi yanayoagiza mali zilizokwisha tumika toka nje.
Ni jambo zuri sana kwani huwawezesha wenye kipato kidogo wasioweza kumudu kununua baadhi ya vitu vipya, kununua hivi vya mitumba...
Rudi darasani upate kuelimika.
Marekani yameshuhudiwa maandamano makubwa kupinga utendaji kandamizi wa ICE, Marekani si nchi ya kisoshalisti.
Isijekuwa reference kwa andiko lako ni Tanzania ambayo hata si nchi ya kijamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.