Hawa watu hawataki kusikia.
Russia anawaambia misaada wanayompa Ukraine haiwezi kubadili kitu, sana itarefusha mapigano na mwisho wa vita Ukraine atakuwa kapoteza zaidi ya 60% ya ardhi yake.
Zelensky alazimishwe na watu wanaoitakia mema Ukraine kufanya mazungumzo ya amani before it's too late.
Ndo nimesema mimi sina shaka na unabii wake; wewe mwenye mashaka ndiye uipime roho ya unabii wake.
Lakini pia umsikilize vizuri. Yona alivyopeleka ujumbe wa maangamizi Ninawi, unabii wake haukutimia baada ya watu wa Ninawi kutubu na kumrejea Mungu. Unabii haukutimia si kutokana na Yona kutokuwa...
Soma Wakorinto 1, 12:10.
Ndlovu alikuja na unabii juu ya kifo cha Magufuli 2019, baada ya mwaka na miezi kadhaa ikatokea. Kaja na unabii sakata la kuuzwa bandari August 2021 na jinsi itakavyoligawa taifa, imetokea.
Mimi ni nani niwe na mashaka na unabii wake?
Porojo nyingi, sijui hata unakubali nini na unakataa nini. Nimeandika zaidi ya mara mbili humu kuwa unabii na utabiri ni vitu tofauti.
Ndlovu kaeleza kuwa hayo anayotueleza alionyeshwa na roho wa Mungu. Huo huwezi kuita utabiri, ni unabii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.