Recent content by Gagnija

  1. G

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Huyo yuko kwenye ziara ya kuaga.
  2. G

    JamiiForums Tanzania Lissu ana hoja: DPP haheshimu amri za mahakama

    Mahakama yenyewe imeshindwa kuheshimu amri inazotoa, na mwingine ataziheshimu!
  3. G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Padre Kitima Awataka Watanzania Kuwa na Imani na Ujumbe wa Maaskofu, Ataka Utulivu Katika Mkwamo wa Kisiasa

    Huyo mjinga anafikiri tupo kwenye mchuano baina ya RC na KKKT yake.
  4. G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Padre Kitima Awataka Watanzania Kuwa na Imani na Ujumbe wa Maaskofu, Ataka Utulivu Katika Mkwamo wa Kisiasa

    Exactly. TEC walimwambia kama watu walipewa pesa kufanya vurugu, basi walioua wafanyavurugu nao watajwe, wajulikane.
  5. G

    JamiiForums Tanzania TEC sitisheni mara moja mpango wa kumfanya Nyerere Mtakatifu, ni jambo la hasara zaidi kuliko faida.

    Aliyekuambie TEC au Vatican wanaweza kumfanya mtu kuwa mtakatifu kakudanganya.
  6. G

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Zanzibar, leo Agosti 11, 2026

    Ni open festival, kwenda huhitaji ruhusa ya mtu.
  7. G

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    Nashangaa, sijui Zanzibar wao hawana hayo maadhimisho ya vijana hadi makamu mwenyekiti wa huko kuja kutupigia kelele Dar!
  8. G

    JamiiForums Tanzania Mkakati maalumu wa kukiimarisha Chama cha Mapinduzi

    Hii inakupa picha members wengi humu tulivyo watupu kichwani.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Kumbe kilikuwa cha kkkt!
  10. G

    JamiiForums Tanzania CCM waliomba kanisa Katoliki kuwaleta CHADEMA katika meza ya maridhiano!

    Watakuwa hawakupata matokeo waliyotarajia. Catholic bishops can not be blackmailed easily.
  11. G

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Part 234 Mhe. Lissu anaendelea kumfanyia cross examination Shahidi wa Jamhuri ACP Amin Mahamba Mhe. Lissu: Kama unafahamu au hufahamu Tume iliundwa pia ya Mark Boman.. kuangalia utaratubu wa Katiba nayo ikapendekeza kuwe na Katiba mpya na Serikali ya Mkapa na ccm yake ikakataa???? ACP Amin...
  12. G

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Part 233 Mhe. Lissu anaendelea kumfanyia cross examination Shahidi wa Jamhuri ACP Amin Mahamba. Mhe. Lissu : Eleza kama hao waliosema watafanya vurugu, mkawaachia na wakaenda kweli kufanya vurugu kama kuna hata mmoja mliemchukulia hatua? ACP Amin Mahamba : Kimya Mhe. Lissu : Kimya maana yake...
Back
Top Bottom