Recent content by Gagnija

  1. G

    Nilishuhudia Ujenzi wa Bwawa la Mtera, nikashuhudia mitambo ya IPTL lakini hili Bwawa la Nyerere alilojenga shujaa Magufuli ni kiboko!

    Capacity charge haiepukiki. Subiri tumpe bwawa mwekezaji. 😆😆😆
  2. G

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Wachina wamemfanyia kitendo cha dharau. Huyo dada aliyempokea uwanjani ni naibu meya wa jiji la Chongqing. 😆😆
  3. G

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    West washashindwa, wanatafuta njia ya kutokea.
  4. G

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hawa watu hawataki kusikia. Russia anawaambia misaada wanayompa Ukraine haiwezi kubadili kitu, sana itarefusha mapigano na mwisho wa vita Ukraine atakuwa kapoteza zaidi ya 60% ya ardhi yake. Zelensky alazimishwe na watu wanaoitakia mema Ukraine kufanya mazungumzo ya amani before it's too late.
  5. G

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

    Waingie Lebanon kama walivyoingia Gaza ndio tutajua hawana huruma.
  6. G

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kweli product ya moto ni majivu. Baba yake Justin alikuwa na akili nzuri sana. Kijana amekuwa kibaraka wakuendeshwa na kina Biden.
  7. G

    Uratibu mbaya wa makadirio ya kodi ndiyo sababu kubwa ya ukwepaji kodi

    Kama nimeshalipa instalment 3, ile ya mwisho si inabidi accounts zangu zipitiwe kuona nilitengeneza faida kiasi gani? Makadirio yanaingiaje hapo!
  8. G

    Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe

    I am out of this. Naona tutakesha bila kufikia muafaka.
  9. G

    Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe

    Ndo nimesema mimi sina shaka na unabii wake; wewe mwenye mashaka ndiye uipime roho ya unabii wake. Lakini pia umsikilize vizuri. Yona alivyopeleka ujumbe wa maangamizi Ninawi, unabii wake haukutimia baada ya watu wa Ninawi kutubu na kumrejea Mungu. Unabii haukutimia si kutokana na Yona kutokuwa...
  10. G

    Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe

    Soma Wakorinto 1, 12:10. Ndlovu alikuja na unabii juu ya kifo cha Magufuli 2019, baada ya mwaka na miezi kadhaa ikatokea. Kaja na unabii sakata la kuuzwa bandari August 2021 na jinsi itakavyoligawa taifa, imetokea. Mimi ni nani niwe na mashaka na unabii wake?
  11. G

    Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe

    Porojo nyingi, sijui hata unakubali nini na unakataa nini. Nimeandika zaidi ya mara mbili humu kuwa unabii na utabiri ni vitu tofauti. Ndlovu kaeleza kuwa hayo anayotueleza alionyeshwa na roho wa Mungu. Huo huwezi kuita utabiri, ni unabii.
  12. G

    Eid Mubarak shujaa Magufuli, Kinondoni Muslim pamependeza Sana!

    Alipewa mic kuwasalimu ndugu waislam wenzake?
Back
Top Bottom