Recent content by Gagnija

  1. G

    JamiiForums Tanzania Pamoja na Mapugufu Yake ya Kibinadamu Wito Wanasheria Wote, Kwenye Hili, Tusimame na Rais Wetu wa TLS Wakili Boniface Anyisile Kajujumele Mwabukusi

    Zipo sheria nyingi zinazotungwa kimaslahi. We should always look at what justice demands.
  2. G

    JamiiForums Tanzania Kuna siku ukweli wote utajulikana wazi kuhusu kifo cha Nyerere, lakini kwa wenye akili alichosema Jenerali Ulimwengu kinatosha

    Nyerere angeifanya nchi kama ya baba yake sasa hivi familia yake ingekuwa na utajiri wa kutisha.
  3. G

    JamiiForums Tanzania Nani aliyeandika Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977? Majina yao na wasifu wao ni upi?

    Hata kwenye kuunganisha Tanganyika na zanzibar wananchi hawakushirikishwa.
  4. G

    JamiiForums Tanzania Kama kuna kosa kubwa alilolifanya Mwl Nyerere ni kusaidia mataifa ya kusini kupata uhuru. Mpaka leo hili kosa linatugharimu

    Kusaidia ndugu zako kutoka kwenye mikono ya wakoloni haliwezi kuwa kosa; kosa kubwa alilofanya ni kutuweka kwenye huu muungano.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Huyu Kamera Man wa Chato katuharibia picha yetu ya karne

    Jakaya alikuwepo?
  6. G

    JamiiForums Tanzania Huyu Kamera Man wa Chato katuharibia picha yetu ya karne

    Huu msiba hauna uhusiano na ccm. Huyo mpuuzi aliyevaa shati la kijani angezuiwa getini asiingie.
  7. G

    JamiiForums Tanzania Zitto: Sasa hivi Kura ya Mwananchi thamani yake ni Sifuri, anayeamua nani awe Mbunge ni DSO

    Zitto kayajua haya akiwa kachelewa kidogo.
  8. G

    JamiiForums Tanzania Ma CCM hayana akili, yalitakiwa Kumuachia LISSU, bila kusubiri MAHAKAMA, ili Waonekane kama wanatuma "SIGNAL" ya kuhitaji Mazungumzo mezani kwa US/EU

    Walithubutu kwa mwalimu Nyerere, watashindwa kwa Lissu? You're not serious.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Ma CCM hayana akili, yalitakiwa Kumuachia LISSU, bila kusubiri MAHAKAMA, ili Waonekane kama wanatuma "SIGNAL" ya kuhitaji Mazungumzo mezani kwa US/EU

    What if the purpose is to incapacitate him, the way they did to lowasa, before releasing/freeing him! Bado utasema hayana akili?
  10. G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wenje: CHADEMA waje kwenye Meza ya Mazungumzo na wajue nchi ina Vyama 19, wakikataa ni jeuri yao

    Vyama vya siasa Tanzania havizidi vitano (5). Hivyo vingine ni maigizo ya ccm.
  11. G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wenje: CHADEMA waje kwenye Meza ya Mazungumzo na wajue nchi ina Vyama 19, wakikataa ni jeuri yao

    Waendelee kupeta na hivyo vyama vingine. Sijui kwanini waendelee kuweweseka na chadema.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Kuipiga Nyundo serikali ya Tanzania, Watanzania wote waiunga mkono Marekani

    Inawezekana. Siamini kama kuna mtanganyika aliye kinyume.
  13. G

    JamiiForums Tanzania Kuipiga Nyundo serikali ya Tanzania, Watanzania wote waiunga mkono Marekani

    Kabudi naye anaunga mkono? Au unamaanisha nini unaposema watanzania wote!
  14. G

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Muungano hauna future. Wameturahisishia kuuvunja.
Back
Top Bottom