Recent content by Gagnija

  1. G

    Waziri mkuu Mwigulu Nchemba, tusaidie kuzuia huu wizi

    Hakuna pesa inayolipwa bila vielelezo. Serikali haiwezi kushindwa kuzuia utapeli huu, labda kama utashi hautakuwepo.
  2. G

    Waziri mkuu Mwigulu Nchemba, tusaidie kuzuia huu wizi

    Chris unalipia mali ikishapakuliwa na kutunzwa bohari, unalipia kitu unachokiona. Tatizo ni hawa wanaokutaka ulipie ndio mzigo upakiwe kwenye container huko ughaibuni.
  3. G

    Waziri mkuu Mwigulu Nchemba, tusaidie kuzuia huu wizi

    It's worse than betting. Watu wamelizwa sana
  4. G

    Waziri mkuu Mwigulu Nchemba, tusaidie kuzuia huu wizi

    Naandika haya nikiamini utayasoma kwakuwa wewe ni mmoja wa wanajukwaa JF Sasa hivi nchini kuna makampuni mengi yanayoagiza mali zilizokwisha tumika toka nje. Ni jambo zuri sana kwani huwawezesha wenye kipato kidogo wasioweza kumudu kununua baadhi ya vitu vipya, kununua hivi vya mitumba...
  5. G

    TANZIA Pumzika kwa amani Profesa Costa Ricky Mahalu!

    Law firm yao kabaki mzee Warioba.
  6. G

    UAE umepokea simu kutoka kwa rais wa Tanzania akilaani shambulio Dhidi ya Iran

    Kalaani shambulio dhidi ya Iran? Rekebisha heading yako.
  7. G

    Wasaliti waendelea kulia na kusaga meno, sasa ni zamu ya Asenga

    They should, under any circumstances, not be accepted back into chadema. Please.
  8. G

    Nyerere angewasikiliza Mtei na Kambona uchumi wa Tanzania ungekuwa mkubwa sana

    Miaka zaidi ya 40 tangu alipoacha uongozi mmeshindwa kurekebisha hizo sera mbovu? Unaandika as if Nyerere hakuna alichofanya kwenye uongozi wake.
  9. G

    Laana ya Ushoshalisti, Ukomunisti na Ujamaa

    Waliupiga teke ujamaa toka awamu ya Mwinyi kwa walichokiita azimio la zanzibar.
  10. G

    Laana ya Ushoshalisti, Ukomunisti na Ujamaa

    Ubepari ni mfumo wa shetani. Biblical proof is there.
  11. G

    Laana ya Ushoshalisti, Ukomunisti na Ujamaa

    Rudi darasani upate kuelimika. Marekani yameshuhudiwa maandamano makubwa kupinga utendaji kandamizi wa ICE, Marekani si nchi ya kisoshalisti. Isijekuwa reference kwa andiko lako ni Tanzania ambayo hata si nchi ya kijamaa.
Back
Top Bottom