Recent content by Gagnija

  1. G

    JamiiForums Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete kutoka kua kipenzi cha watanzania mpaka kuonekana adui yao

    Miaka mitano Magufuli hayupo, ccm leo in uhai?
  2. G

    JamiiForums Tanzania CCM wanalilia salamu za rambirambi kutoka CHADEMA.

    Yes, within three days kama hauko mbali sana na hakuna matatizo ya usafiri. Hiyo ni unwritten rule ya kiafrika.
  3. G

    JamiiForums Tanzania CCM wanalilia salamu za rambirambi kutoka CHADEMA.

    Siku samia anaapishwa kikombo TEC walimtuma padri kuwakilisha, unakumbuka?
  4. G

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    Anaruhusiwa kumfanyia re-examination.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    Ngoja tusubiri tuone. Wao ndio wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Kama kulikuwa na mipango ya uhaini, hawa ndio wenye taarifa za kina. Tatizo hawa ni watu wa kutoa amri, maswali ya kuudhi yanaweza kupandisha shinikizo la damu.
  6. G

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapaswa kujifakari

    Kuna kitu sielewi, hivi chadema ikishika dola ikayafunga haya majizi yote kuna mtu atasema ni visasi?
  7. G

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    Umeona mbali. Ni aibu CDF kukubali kudhalilishwa kizimbani wakati wahuni wachache wanaovuruga nchi wakistarehe majumbani mwao. Kizimbani pale yule ni shahidi mkunda, sio CDF. Atalazimika kujibu maswali ambayo hatayasahau maishani.
  8. G

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    Mimi naona kama kuna ujumbe Lissu alitaka uwafikie wafiwa satirically. Alivyokufa Raila, Lissu aliagiza (amuru) Heche aende Bondo kuhudhuria mazishi, japo ilishindikana baada ya Heche kuzuiwa mpakani. Hii ya salamu kwa wafiwa kwa upande wangu naona kama ilikuwa satire, pengine kuwakumbusha...
  9. G

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    Sitashangaa DPP akiifuta hii kesi kabla hawa vigogo hawajapanda kizimbani kutoa ushahidi
  10. G

    JamiiForums Tanzania CCM wanalilia salamu za rambirambi kutoka CHADEMA.

    Nimewaona baadhi ya viongozi wa dini huko kizimkazi; kuna mwakikishi wa TEC aliyefika huko?
  11. G

    JamiiForums Tanzania Lema ana malengo gani na CHADEMA? Matendo yake yanatia wasiwasi

    The guy is an average person who is highly overrated. Naye kwa ujinga anafikiri ni mtu muhimu sana kwenye chama. Kuna watu waliokijenga hiki chama kwa mali na damu lakini wakalazimika kuondoka kutokana na majungu ya huyu mtu na ndugu zake.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete kutoka kua kipenzi cha watanzania mpaka kuonekana adui yao

    Ni kipindi cha uongozi wake watu waliogopa hata kuvaa manguo yao ya kijani mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana kwa ccm. Nakumbuka makamu wa rais Ghalibu Bilal alifanya ziara mkoa fulani, ilikuwa aibu kwa zomea zomea aliyokutana nayo. Mawaziri nao kuna mwaka walifanya ziara ya kuitetea bajeti...
  13. G

    JamiiForums Tanzania CCM wajiandae kisaikolojia CHADEMA haipo tayari kuridhiana na wauaji, chuki ni kubwa

    Itapendeza wakiaandaa maridhiano yao na mbowe na lema.
  14. G

    JamiiForums Tanzania Mchome: Heche ni pandikizi la CMM ndani ya CHADEMA, yupo kwa ajili ya kutuvuruga

    Pandikizi liliondoshwa uchaguzi mkuu wa Januari mwaka jana.
  15. G

    JamiiForums Tanzania Je Wajua Mawakili ni Maofisa wa Mahakama?, Onyo la CJ Kuwa Mahakama Sio Sehemu ya Uanaharakati, Linawahusu!. Tujikite Kwenye Interest of Justice!.

    Kama mlengwa ni Lissu, itoshe kusema kwa sasa yupo mahakamani kama mshitakiwa, si kama wakili.
Back
Top Bottom