Ngoja tusubiri tuone. Wao ndio wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Kama kulikuwa na mipango ya uhaini, hawa ndio wenye taarifa za kina.
Tatizo hawa ni watu wa kutoa amri, maswali ya kuudhi yanaweza kupandisha shinikizo la damu.
Umeona mbali. Ni aibu CDF kukubali kudhalilishwa kizimbani wakati wahuni wachache wanaovuruga nchi wakistarehe majumbani mwao.
Kizimbani pale yule ni shahidi mkunda, sio CDF. Atalazimika kujibu maswali ambayo hatayasahau maishani.
Mimi naona kama kuna ujumbe Lissu alitaka uwafikie wafiwa satirically.
Alivyokufa Raila, Lissu aliagiza (amuru) Heche aende Bondo kuhudhuria mazishi, japo ilishindikana baada ya Heche kuzuiwa mpakani.
Hii ya salamu kwa wafiwa kwa upande wangu naona kama ilikuwa satire, pengine kuwakumbusha...
The guy is an average person who is highly overrated. Naye kwa ujinga anafikiri ni mtu muhimu sana kwenye chama.
Kuna watu waliokijenga hiki chama kwa mali na damu lakini wakalazimika kuondoka kutokana na majungu ya huyu mtu na ndugu zake.
Ni kipindi cha uongozi wake watu waliogopa hata kuvaa manguo yao ya kijani mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana kwa ccm. Nakumbuka makamu wa rais Ghalibu Bilal alifanya ziara mkoa fulani, ilikuwa aibu kwa zomea zomea aliyokutana nayo.
Mawaziri nao kuna mwaka walifanya ziara ya kuitetea bajeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.