Recent content by Gadi Gadi

  1. G

    JamiiForums Tanzania Mtu anatekwa Stendi ya Magufuli huku watu wanaangalia? Wananchi tunatakiwa kujitafakari, imekuaje tumekuwa mazombi hivi?

    Watu wamebeba silaha za moto, Mwananchi wa kawaida atafanyaje kwa mfano .
  2. G

    JamiiForums Tanzania Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF): Waziri Silaa ameshindwa kuwa karibu na Waandishi wa Habari

    Balile aache tabia ya unafiki na kupenda bahasha. Yaani Waziri aache kwenda bungeni ahudhurie vikao vya mishiko? Sasa alitaka sura ya Silaa au uwakilishi wa Wizara. Yaani anadiriki kudharau uwepo Naibu Katibu Mkuu? Balile ana kiburi sana! Yaani ameona Naibu huyo si kitu! Alafu hicho kigenge...
  3. G

    JamiiForums Tanzania Muda wa kujiandikisha uchaguzi wa serikali za mitaa kuongezwa?

    Zoezi linasuasua Hadi aibu! Licha ya viongozi wa kiserikali na wale wa kisiasa kuhamasisha watu wajitokeze lakini wamegonga mwamba. Watu ni kama wamepigwa ganzi hawana shauku Wala hamu na zoezi Hilo. Nikama wamesusa au wamekata tamaa. Uzuri ni kuwa wenye dhamana wamekiri zoezi kusuasua. Na...
  4. G

    JamiiForums Tanzania Hasara ya Iran kuishambulia Israel ni kubwa. Kukaa kwao kimya si kwamba hawana akili. Russia, Korea na China...

    Kwanini isitokee wakati unaona wenye maguvu wanatunishiana misuli?
  5. G

    JamiiForums Tanzania Je, Kinana alijiuzulu kukwepa hizi dhambi?

    Muda mfupi sana tangu Mzee Kinana ajiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti bara, pametokea mambo mazito yenye kuchafua 'sura' ya nchi. Hapa nazungumzia utekaji, utesaji na mauaji. Najiuliza huyu Mzee alinusa maandalizi ya matukio haya? Maana hata kujiuzulu kwake Kulikuwa kwa ghafla na kwanamna...
Back
Top Bottom