Mimi mwaka Jana nilifanyiwa application na MTU ambaye hana uzoefu na haya mambo kwa bahati mbaya akajaza pia iko chuo na wakanichukua, (bsce) lakin nilipo report pale tokea mkoani(mza) hali iliniwea ngua hasa baada ya kujua mfumo wa ufundishaji wa chuo kuwa ni distance leaning yaaan huonan na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.