Well said, nahisi wengi humu hawaelewi hii issue ya FD inakuwa.
Kama Bot na wengineo wanasema kuweka FD sio dhambi, then kinachohitajika ni uwazi tu na matumizi sahihi ya hizo Interest Income, na tukumbuke pia kuna KODI inakokotolewa katika hizo Interest income.
Ukifanya tathimini ya haraka, invyoonekana ni kuwa tatizo ni interest inayopatikana kwa kuweka fedha katika FD.
Sasa nini kazi ya wakaguzi wa mahesabu?
Je hawazioni hizi interest katika vitabu vya taasisi husika?
Ndugu, unajua taratibu za kufungua FD kwa taasisi zilivyo? Ukizielewa hizo taratibu utapata maana ya kwa nini sio rahisi kutoa hizo riba zilizotokana na iyo FD.
Waraka uliotoka ulisema kuwa pesa zote za serikali zitolewe katika banks za biashara na kuwekwa BOT. Na tangazo likaendelea kuwa taasisi ziweke utaratibu wa kuchukua fedha za matumizi yao labda ya mwezi na kuweka katika hizo banks zao za biashara.
Sasa kama TRA, walipewa pesa zao labda on...
Hapo kabla,hii kodi ilikuwa ikilipwa na kampuni za simu. na mteja ulikuwa ukinunua vocha ama kununua salio toka tigo pesa,mpesa na airtel money hiyo kodi ilikuwa inajumuishwa kwa pamoja.
Sasa kampuni husika, zimeleta hizi kodi kwa mtumiaji wa mwisho ambaye ni mmiliki wa simu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.