Ninauza asali mbichi ya nyuki wakubwa ujazo wa lita ishirini tsh 150000 rejareja lita moja tsh 10000 ninapatikana sinza karibu na meeda. Mawasiliano 0766849951
Ndugu wana JF ninaomba msaada kupata wanunuzi wa asali ya nyuki wakubwa kwa bei ya jumla. Ni asali nzuri kutoka singida haijachanganywa na kitu chochote. Mawasiliano 0766849951
Ndugu wana JF. Ninauza asali mbichi ya nyuki wakubwa kutoka tabora. Nipo sinza karibu na meeda. Bei, dum la lita 20 ni sh 150000. Mawasiliano 0766849951
Ninauza asali mbichi ya nyuki wakubwa kutoka tabora. Ila masoko ndio yananisumbua kwa anayeweza kunisaidia wapi ninaweza nikauza. Nipo dar sinza karibu na meeda. Ndoo ya lita ishirini ni tsh 160000. Mawasiliano 0674003082
Ndugu wana JF, nauza asali ya nyuki wakubwa. Lita tsh 10,000 kwa bei ya jumla, dumu la lita ishirini ni sh 150,000.
Soko linanisumbua, msaada jamani.
Simu 0674003082
ndugu wana JF nauza asali ya nyuki wakubwa kuanzia ujazo wa kita moja ambayo ni tsh 10000 pia nauza jumla dum lita 20 ni sh 150000. soko linanisumbua msaada jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.