Ni kweli kabisa wale ni wezi.wa chadema na ndio mana mboga picha kafia morogoro Leo na waombolezaji sita wamefia uporoto na kuacha wenzao mahututi hosp
Erythrocyte ona sasa akili yako. Badala ya kujibu hoja una ni attack kuwa nimejiunga Leo. Jibu kwa hoja kuhusu ww kumwona kingwendu ni mtu hovyo so jaffo alipambanishwa na hovyo
Inataka kuwa na akili ya mleta mada ili kuweza kusapoti uzi wake.
Hivi kwako kiongozi kingwend ni mtu dhaifu na wa hovyo sana kutokea kiasi kwamba unaona jafo alipambanishwa na mtu wa hovyo?
Kosa la ukawa kwenye uchaguzi uluopita ni moja tuu. Kuona kuwa wengine.wote.ni.dhaifu na kwamba mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.