Hatuna zaidi, ila tupewe tu majibu, nini kilitokea tarehe 15/06 hadi mechi ipelekwe tarehe 25/06, bila majibu ya kueleweka msimamo wetu ni ule ule, HATUCHEZI KESHO!
Naiona Kama ni skendo inayo hitaji kutazamwa vizuri, watu tayari wangekuwa wamesha tumbuliwa, kuanzia Mawaziri hadi Makatibu, sasa hivi kungekuwa kumesha changamka muuuuda! Mtu ana wiki 2 Bongo kupewa uraia, hiiiii!
Hizo nguvu zooote unazotumia, je, hujui kuwa hilo kombe ndo limeiweka yanga kwenye ranking iliyopo? Uliona wakitoa point za shirikisho na kuziweka pembeni kuwa ni kombe la kipuuzi? Ukitaka kujua umuhimu wa hili kombe, toa point za Yanga ilizozipata kwenye shirikisho halafu uweke ranking, yanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.