Recent content by G4rpolitics

  1. G

    Hivi ndivyo Marekani inavyojimaliza yenyewe,na haizuiliki kwani si mipango yake tena

    Ni uzi una facts lkn aliyesema umebuma hajaelewa mawazo ya mleta mada
  2. G

    Labda Simba kwenda Kombe la Shirikisho ni jambo jema kwa sasa

    Umesoma kanuni na kuelewa kifuatacho baada ya hayo mashindano kufutwa, au unabwabwaja tu?
  3. G

    Yupo wapi Micky Jr aliyetumika na Simba sc kusambaza propaganda za kumtia preha Azizi k??

    Unafanya maksudi au? unajua kabisa kuwa jamaa yuko kule X, sasa huku ulikoleta unataka nani akujibie?
  4. G

    Mkisema Itavaliwa Mara 2, Pia Msisahau

    Inabidi ufanye utafiti ujue hiyo rekodi mkuu
  5. G

    Mkisema Itavaliwa Mara 2, Pia Msisahau

    Hadi ume comment utakuwa umeelewa
  6. G

    Mkisema Itavaliwa Mara 2, Pia Msisahau

    Mnapoleta porojo zenu, msisahau kusema pia ni jezi iliyowahi kuweka rekodi, yaani jezi ambayo imevaliwa mara 2 na ikaiingizia timu Billion 5 point, hapo Simba ana hasara gani?
  7. G

    Simba yazindua Jezi mpya kuelekea African Football League

    Kwa kuwa damu yako ni chafu, sasa utapendaje vitu vyekundu wkti muda wte vinakukumbusha mauti yako!
  8. G

    Group D Yanga ndio kibonde kuliko wote, Hatoboi

    Mimi nimeacha mkuu!
  9. G

    CAF: Draw ya makundi: Simba Group B, Yanga Group D

    Mkuu weka update kwenye front page kule
  10. G

    CAF: Draw ya makundi: Simba Group B, Yanga Group D

    Mbna hutowei update sasa
  11. G

    Kuna namna Yanga inahujumiwa, ni ngumu kushinda ubingwa msimu huu

    Kumbe kuna gol wamefunga likakataliwa?
Back
Top Bottom