Safi sana mheshimiwa rais nakupongeza kwa namna ulivyomsaidia huyo mama mjane, hakika wanyonge hawana HAKI MUNGU akubariki na kukulinda. Kazi kwao kwa waliopewa kazi ya kushughulikia hiyo kesi ya huyo mama mnyonge.
Mie naishi indian quotars umeme huwa unakatika na hatujui shida ni nini na wala hatuishi na viongozi wa serikali wala chama wengi ni wananchi wa kawaida ila tatizo limekuwa kubwa. Hatujui tanesco mtwara wanatatizo gani.
kwa nini asipelekwe mahakamani akasomewa mashitaka kuliko kukomalia rufani za dhamana??? hivi ni kwamba imeshindikana kukidhi vigezo vya kupewa dhamana au kuna mengineyo???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.