Fanya kadri tu ya uwezo !Mwanaume ndiye kaumbwa kupenda na mwanamke kaumbwa kutii.mwanaume ampende mke wake na mwanamke amtii mume wake.kwa hiyo ni wajibu wa me kupenda ndio maana wanaonekana sana wao kuhitaji hints kama hzo.
Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.