Recent content by Fvr

  1. F

    Pata suluhisho kwa matatizo yako ya kiafya

    Hizi dawa ni nzuri ila haziwanufaishi watu wenye kipato duni
  2. F

    Victim wa mahusiano

    Victim huwa mwanzoni tu mwa mahusiano mkishakuwa na majukumu ya familia uvictim hupungua sana au kuisha kabisa
  3. F

    Umri gani ni sahihi kumtenganisha mtoto na chumba cha wazazi?

    Ni vizuri mtoto kuwa na kitanda chake pembeni tangu akiwa mchanga kabisa ili iwe rahisi kumuamisha chumba pale inapobidi
  4. F

    Vitu mwanaume anavyotakiwa kuwa ameshavifanya akifikia miaka 30

    Hahahaaa!nimejikuta nacheka kama chizi
  5. F

    Nimjibu vipi anielewe?

    Mwambie bado nakupenda kama dada yangu
  6. F

    Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

    Mkuu nimesoma post zako zote na kukuelewa,naomba unipe maelekezo ya kumuachisha ARV mtu ambaye tayari anazitumia
Back
Top Bottom