Pia huyo tapeli si kama yupo pekeake ni mtandao mkubwa huo kwasababu yule mzee alikua anasema kua alikua akipigiwa simu na hua anazungumza na watu tofauti anasema wakati mwingine alikua akizungumza hadi na sauti ya kike.
Siku moja nilikua CRDB pale azikiwe Branch Kuna Mzee mmoja alikua analalamika kutapeliwa kwa njia iyo ila imi nilikua sijamuelewa vizuri yule Mzee Lakini leo kupitia JF ndiyo nimeweza kuuelewa vizuri huo utapeli jinsi unavyofanyika Hongereni sana wadau pamoja na JF.
Siku moja nilikua CRDB pale azikiwe Branch Kuna Mzee mmoja alikua analalamika kutapeliwa kwa njia iyo ila imi nilikua sijamuelewa vizuri yule Mzee Lakini leo kupitia JF ndiyo nimeweza kuuelewa vizuri huo utapeli jinsi unavyofanyika Hongereni sana wadau pamoja na JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.