Mimi ninamuunga mkono Shabiby.
Ukiangalia vitu vya kipuuzi vinavyomeza MB zetu kwenye Mitandao, ninaamini tukilipia Bima ya Afya kwa Watanzania wenzetu, tutakuwa tumefanya jambo la maana.
Mitandaoni, zaidi ya Asilimia 90 ya yaliyomo, ni upuuzi mtupu.
Kwa hakika unao upungufu wa uelewa wa kinachoendelea Tanzania.
Alichokuwa anafanya Makonda ni kuuhakikishia Ulimwengu kwamba Tanzania ni Nchi iliyojaa uonevu na dhuluma kwa watu walio wengi.
Mabango yote yaliyokuwa yanampokea Makonda yalikuwa yanailalamikia Serikali na Chama Tawala.
Halikuwepo...
Tatizo kubwa la CCM ni kufikiri kwamba Chama ni Viongozi badala ya Wanachama.
CCM imejitia unyonge kwa kupuuza walalahoi na kuendekeza tamaa ya kujaza matumbo ya watoa rushwa ambao wanaitwa Viongozi.
Matokeo yake ni woga wa uchaguzi huru na wa haki.
Woga wa Tume Huru ya Uchaguzi.
CCM...
Nimeshangaa sana kuona watu wenye uelewa wa kutosha waki-"like" hili Bandiko.
Najiuliza, Watanzania akili zetu zimechukuliwa na Ibilisi gani?
Kwa nini watu wamekuwa Bendera Fata Upepo, BFU?
Kwa Timu nzuri kama hii, itakuwa kitu cha kushangaza sana kama CCM wataendelea kuiogopa Tume Huru ya Uchaguzi kama Ukoma.
CCM ifike mahali iheshimu Kauli ya Watanzania.
Iheshimu Wapiga Kura.
Anayepigiwa Kura ashinde, badala ya figisu za kushirikiana na Polisi kuiba Kura.
Watanzania lazima tudharaulike sana duniani.
Kwamba mtu mmoja, Mtumishi wa Rais, anaweza kulazimisha Mgombea Ubunge asichaguliwe na Wapiga Kura?
Akili ya ajabu sana.
Au kuna kitu kinafichwa?
Kwamba huyo Mtumishi wa Rais ni MWIZI SANA wa KURA?
Kama ni Mbobezi wa kuiba Kura, mbona Kigamboni...
Wafanyakazi wa SUA kutetea eneo la Chuo, inakuwaje iwe maslahi binafsi?
CCM inabidi ijitathmini kupitisha majina ya wagombea Ubunge ambao watoto wao hawasomei katika Shule na Vyuo vya nchini mwetu Tanzania.
Leo hii tukianza kutetea uvamizi wa maeneo ya Vyuo Vikuu vyetu, huku idadi yetu...
Kama Vijana wanajitambua kuwa idadi yao ndiyo kubwa, WAANZISHE VYAMA VYAO, washindane na hivi Vyama vinavyoongozwa na Wazee.
Wasije kutegemea kupewa uongozi na Vyama ambavyo vimeanzishwa na Wazee.
Waunde Vyama vyao, na kwa kuwa ni wengi, wahamasishane, na mwisho wa siku, wapigiane KURA, ili...
Huu woga wa CCM kwa Mbowe, unatoka wapi?
Mara Kesi ya Ugaidi, mara aachie ngazi, woga wa nini?
Mwalimu Julius Nyerere aliongoza TANU na CCM kwa miaka 36.
Matokeo yake, TANU/CCM bado ipo ipo mpaka leo.
Mwacheni Freeman Mbowe achuane na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
CCM ilikamilisha kazi siku nyingi.
Hivi sasa CCM ni Chama Tawala, siyo Chama cha Siasa.
Wanachama wake ni Jeshi la Polisi na Tume ya Uchaguzi.
Hakina haja ya Wapiga Kura.
Piga Kura vyovyote utakavyo, CCM haina shida na wewe
Wakati ukifika, Tume ya Uchaguzi na Jeshi la Polisi watahakikisha CCM...
Kiongozi anang'atuka pale anapojua kuwa kazi aliyotumwa, ameikamilisha.
Kazi aliyotumwa Freeman Mbowe Bado hajaikamilisha.
Lazima aendelee mpaka kazi ikamilike.
Mwalimu Nyerere alikiongoza TANU kuanzia 1954 mpaka 1977, miaka 23!
Akaendelea kuiongoza CCM kwa miaka mingine 13.
JUMLA miaka 25...
Kichwa cha Habari kimekosewa;
Kinatakiwa kisomeke ifuatavyo:
BAADHI YA WANANCHI, WAHANGA WA DHULUMA NA MANYANYASO YA UTAWALA WA SERIKALI YA CCM TANZANIA WAMLILIA MAKONDA.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.