Recent content by fundimchundo

  1. F

    PreGE2025 CHADEMA imekata pumzi rasmi kisiasa sasa imebaki na kiki ya kesi na kutafuta public sympathy kwa shari za makusudi za viongozi wao dhidi ya polisi

    Lini, tangu tupate Vyama Vingi, Tanzania imewahi kufanya Uchaguzi? Lini, tangu kuanza kwa Vyama Vingi, KURA YA MTANZANIA imehesabiwa kwa HAKI NA UWAZI? Uchaguzi pekee wa WAZI NA WA HAKI ambao umewahi kuonekana Tanzania ni ule uliomstaafisha Freeman Aikaeli Mbowe, Uenyekiti wa CHADEMA. Badala ya...
  2. F

    PreGE2025 CHADEMA imekata pumzi rasmi kisiasa sasa imebaki na kiki ya kesi na kutafuta public sympathy kwa shari za makusudi za viongozi wao dhidi ya polisi

    TO THE CONTRARY. CHADEMA IME-'GRADUATE' NA KUWA CHAMA CHA KITAIFA. CHADEMA ilikuwa sawa na Kovu ambalo juu juu linaonyesha kuwa Kidonda kimepona, kumbe ndani kuna USAHA. Kuna uozo. Tabibu amepatikana. Ametoboa TOBO, Usaha unatoka. Ni muhimu sana kukamua zaidi ili Usaha wote uishe. Wachumia...
  3. F

    Najutia kiwango cha imani yangu nilicho kiwekeza kwa Mbowe baada ya kumsikiliza Mwalimu akizungumza

    CHADEMA ilikuwa sawa na Kovu ambalo juu juu linaonyesha kuwa Kidonda kimepona, kumbe ndani kuna USAHA. Kuna uozo. Tabibu amepatikana. Ametoboa TOBO, Usaha unatoka. Ni muhimu sana kukamua zaidi ili Usaha wote uishe. Wachumia tumbo wote wanatakiwa waondoke. Wasisubiri kufukuzwa. Eti Benson Kigaila...
  4. F

    Kutoka Jamii Forums Hadi Kuwa Jamii Africa

    To sell Kiswahili, one needs to understand the language of the 'Buyer'. Tanzanians needs to learn foreign languages in order to teach Kiswahili in foreign countries .
  5. F

    PreGE2025 Katibu Mkuu Mnyika nashauri CHADEMA iingie kwenye uchaguzi mkuu hata kama hamna Reform kwa mujibu wa Katiba ya nchi

    Swali: Uchaguzi Mkuu ni kwa ajili ya Vyama, au ni ajili ya Wananchi wote wa Tanzania? Je, Sheria na Kanuni za Uchaguzi zilizopo zinawatendea haki Wapiga Kura?
  6. F

    Hey CHADEMA Central Committee and CHADEMA Members at Large, Every Sin Against God is Potentially Forgivable and So is Every Sin Against CHADEMA

    I am impressed by your command of the English language. You remind me of the 'old Tanzania' before the present 'Kizazi kipya'. While I agree with you, I am however emphasizing that forgiveness and reconciliation can only occur after truth, the whole truth, of what exactly transpired, is known. I...
  7. F

    Kituko kutoka Zimbabwe: Tanzania yatambulika kama Islamic Republic (Jamhuri ya Kiislamu ya Tanzania)

    Usisahau kwamba Nchini Tanzania, kuna sehemu ukikutwa unakula Mchana, wakati wa Mwezi wa Mfungo, unapelekwa Jela. Tujichunguze na kujitafakari sisi wenyewe kwanza. Inawezekana tunakosea mahali fulani.
  8. F

    PreGE2025 Mbivu na Mbichi Kujulikana Baada ya Kikao Cha CHADEMA na Ofisi Ya Msajili wa Vyama Vya Siasa

    Ni vema Watanzania wajitambue. Lini Msajili aliwaita CCM kuwahoji? Au yeye ni Msajili wa Vyama pinzani pekee? Walichofanya CCM kumpitisha Samia na Nchimbi, na Msajili akaufyata, tafsiri yake nini?
  9. F

    PreGE2025 Tundu Lissu na hoja zake dhaifu dhidi ya Serikali

    Wingi wa Wabunge katika Mkoa wowote hauna faida yoyote kwa Wananchi. Kama Mkoa wa Tabora, ambao ni mkubwa mara tatu ya Nchi ya Rwanda, ina Mkuu wa Mkoa mmoja, kuna tatizo gani kuwa Wabunge 2 au 4? Kwa nini tuwe na Wabunge 300, wakati Wabunge 35 au 70 watatusaidia kuokoa sehemu ya Kodi zetu...
  10. F

    PreGE2025 Tundu Lissu na hoja zake dhaifu dhidi ya Serikali

    Tuongee bila jazba, kwa sababu wewe uko sahihi, na Tundu Lissu yuko sahihi. Kwa hoja yako hii, kama Dar es Salaam ina Wabunge 10, itakuwa vizuri Mtwara, ambako ndiyo MAKAZI yangu, tuwe na Wabunge WATATU au WANNE. Hapa maana yangu ni kwamba hii ni HOJA INAYOFAA KUZUNGUMZWA, kidemokrasia. Tufike...
  11. F

    Wito: Watu Wenye Uwezo, Tujitokeze Tujitolee Kumsaidia TAL na Kuisaidia Chadema to Play Real Politics, No Reforms No Election ni Utopian Politics!.

    Paskali, kwa nini kushinikiza KURA ZETU KUHESABIWA NA KUHESABIWA KWA HAKI NA UWAZI kuwe swala la KUFIKIRIKA? Wewe hutaki KURA ZIHESABIWE KWA uwazi?
  12. F

    PreGE2025 Bora Uenyekiti wa Mbowe, Lissu bado hajajua watanzania wanataka nini. Mpango wake wa kustopisha Uchaguzi unaenda kuangukia pua!

    Kosa lako kubwa ni kuwa pro-Lissu. Kwani wewe huna msimamo wako? Kodi zetu zinapotezwa kwa kuweka mazingaombwe ya Uchaguzi wakati Kura zetu HAZIHESHIMIKI. Tufuke mahali tujitambue. KURA ZETU ZIHESABIWE KWA UWAZI NA ZIHESHIMIKE. Baada ya hapo, Mshindi akiwa CCM au CHADEMA au ACT, itakuwa ndiyo...
  13. F

    PreGE2025 Watanzania tunataka kura zetu zihesabiwe wazi wazi

    Tusikubali kuendelea kukaa kimya, pale Watawala wanapogeuza "UCHAGUZI" na kufanya uwe ''UCHAFUZI" Tupaze sauti zetu. #KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
  14. F

    PreGE2025 Watanzania tunataka kura zetu zihesabiwe wazi wazi

    Hiki ndicho kinachotakiwa. Watanzania tukipaza Sauti zetu, na Jumuiya ya Kimataifa ikatuunga mkono, uwazi wa kuhesabu Kura unawezekana. Nini maana ya kukaribisha "Election Observers" kama Kura hazihesabiwi kwa UWAZI? Tupaze sauti. #KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Back
Top Bottom