Tuongee bila jazba, kwa sababu wewe uko sahihi, na Tundu Lissu yuko sahihi.
Kwa hoja yako hii, kama Dar es Salaam ina Wabunge 10, itakuwa vizuri Mtwara, ambako ndiyo MAKAZI yangu, tuwe na Wabunge WATATU au WANNE.
Hapa maana yangu ni kwamba hii ni HOJA INAYOFAA KUZUNGUMZWA, kidemokrasia.
Tufike...