Recent content by Fundi Wa Kimataifa

  1. Fundi Wa Kimataifa

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya BM coach sasa mnaharibu, kulikoni?

    Yaan unasema wakati wa kwenda Dar ulipata sana shida na watu walikuwa wanalalamika kuwa huduma ni mbovu, ila wakati wa kurudi ukaenda tena kwenye kampuni hiyo hiyo iliyokupa shida. Tukisema ww ni muongo upo hapa kuchafua biashara ya watu tutakuwa tumekosea!???
  2. Fundi Wa Kimataifa

    JamiiForums Tanzania Unadhani kwanini vijana wanapenda sana kuajiriwa serikalini kuliko kampuni binafsi?

    Kampuni nyingi za watu binafsi ubabaishaji mwingi, mishahara ni mikubwa kwenye makaratas ila kiuhalisia hadi upate mshahara hesabu trh za 40 hadi 50. Pia serikalini unafanya bila pressure kubwa na unalipwa vitu vingi kama Likizo na usafir, bima za afya kwako na familia yako za uhakika, semina...
Back
Top Bottom