Jamani ndugu zangu habari za muda huu?
Hivi ni mimi tu au na nyie ndugu zangu kila nikipata demu lazima aniachie UTI, yaan imeshakuwa kero sasa dawa zenyewe zinadunda tu.
Nitumie mbinu gani wapendwa?
Habari za muda huu wadau ? kuuliza sio ujinga hivi hili tatizo la wadada baadhi yao kutoa harufu kali sehem zao za siri husababishwa na nini? kuna demu wangu mmoja huyo ni shida sana. maana hata upulizie perfume haisaidii kitu. wadau kwa anaejua suluhisho anijulishe tafadhali:
Habari za muda huu wadau; bila kupoteza muda niende kwenye mada! katika pitapita zangu wikiendi iliyopita nikabahatika kuopoa dada poa bei yake haikuwa mbaya sana nililala naye usiku mzima kwa sh elfu 10,000 tu, na kwakuwa nilikuwa nimelewa sana sikukumbuka hata kutumia kinga.
Cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.