Recent content by Fumadilu Kalimanzila

  1. F

    Dkt. Hussein Mwinyi adai Mzee Mwinyi hakuagiza azikwe Mkuranga

    Jamani English ni ugonjwa sugu Tanzania! Calcification ndio nini? Ni Clarification !
  2. F

    Pacome Zouzou achaguliwa kuwa mchezaji bora hatua ya makundi CAF champions league

    Mimi ni Yanga lakini nasema Simba jana wamecheza vizuri sana! Na Chama anastahili pongezi nyingi! Pacome ni bingwa kwa sasa na Chama pia ni mzuri. Tatizo ninaloliona Mimi kwa hapa Tanzania ni kuwa tuna Mashabiki wa mpira maandazi! Hakuna chochote wanachojua zaidi ya ushabiki wa kijinga jinga...
  3. F

    Yadaiwa mzee Ali Hassan Mwinyi (RIP) hajawahi KUKOPA wala KUKOPESHA. Maana yake hakuwa na tamaa

    Tumuombee heri Mzee wetu Hayati Ali Hassan Mwinyi na Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi! Cha msingi ninachojifunza Mimi ni kwamba kila mtu Mwenyezi Mungu amemwandalia maisha yake tangu tumboni mwa Mama yake! Hivyo kila mtu anayo maisha yake na yenye upekee wake. Kila mtu ataishi...
  4. F

    Waziri Mwigulu: Tanzania inakopa kwa Sababu ina Uwezo wa kulipa

    Kuna kitu hujui kwenye finance kinaitwa liquidity! Unaweza kuwa na fedha zako unazitegemea lakini wakati una mahitaji hauna hizo fedha mkononi inabidi ukope ili utimize haja zako kwa wakati huo. Liquidity is ability to meet mature financial obligation. CHADEMA Kumejaa vijana wajinga wajinga...
  5. F

    Kesho najiondoa rasmi CHADEMA. Nimechoshwa na siasa njaa na kuendekeza matumbo

    Vimeniudhi ✓ na siyo vimeniuzi× ! Jifunze lugha kwanza kabla ya kukimbilia kuongea na vyombo vya habari.
  6. F

    Mfumuko wa bei wawafukuza wafanyabiashara wa kigeni Kariakoo, wasema wanapata hasara

    Hujui maana ya neno maradufu! Maradufu maana yake ni mara mbili ama kwa kiingereza ni neno sawa na twice. Sasa Dola 1 kupanda kutoka 2180 hadi 2850 siyo maradufu hiyo! Jifunzeni mambo! Shule za kata ni nzuri lakini pia zimeleta changamoto sana! Tuna wasomi hafifu sana ( half cooked)!
  7. F

    Je, nani anapaswa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA baada ya Mbowe?

    Lizisha× ni ridhisha✓ Tayali× ni tayari✓ Wewe ni mmoja wa wasomi hafifu ( half cooked) waliojazana kwenye vyama vya siasa hususani CHADEMA!
  8. F

    Picha: Uchawa wa kisiasa uliovuka mipaka

    Watanzania wengi usiwaamini kwa lolote! Wengi ni wanafiki na wachumia tumbo kutokana na umasikini na elimu duni waliyonayo walio wengi!
  9. F

    Mgawo wa umeme kufika Ikulu kesho Jumapili 18.02.2024

    Hayati Magufuli tunakukumbuka sana kama ulivyotutabiria! Hivi inakuwaje Waziri alisema mgawo mwisho Feb 16 2024 lakini leo Feb 18 2024 umeme unakatwa hadi Ikulu! Hiyo forecast Waziri aliifanya based on data zipi?
  10. F

    Makonda anazidi Kuipausha CCM kwa utoto

    Sijui Mwenyekiti wetu aliona nini kwa Paul Makonda!!! Mimi ni CCM lakini nasema wazi kabisa kuwa Makonda Hana brain, kariba na haiba ya kuwa Mwenezi wa CCM Taifa. CCM ya Julius Nyerere leo inaenezwa na mtu mwenye tuhuma za mauaji!?!!! Achilia kutuhumiwa na Tundu Lissu, Paul Makonda...
  11. F

    TRIBUTE: Pumzika Lowassa. Kazi umekamilisha, umeacha alama, mwendo umeumaliza. Watanzania wazalendo tutakukumbuka daima-1

    Paskali mbona wewe ni mwandishi wa habari mkongwe lakini unafanya makosa ya kitoto kitoto sana?! Mwanzo uliandika kanakwamba Lowassa kazikwa tayari! Nikakushauri uache Kuandika ukiwa na " Maji" kichwani! Vizuri naona ume-edit. Sasa kituko kingine unasema akishapumzishwa ndo utaandika kitu...
  12. F

    TRIBUTE: Pumzika Lowassa. Kazi umekamilisha, umeacha alama, mwendo umeumaliza. Watanzania wazalendo tutakukumbuka daima-1

    Paskali hivi Mimi ndo sijui kusoma?! Nimeshindwa kuendelea kusoma makala yako kwani naona haiko sawa! Lowassa alipumzishwa jana kwenye Nyumba yake ya milele?!!!! Huyo ni Lowassa yupi?! Acha Kuandika ukiwa bado na "Maji" kichwani!
  13. F

    Kuhusu madai ya Mayele kutupiwa majini vs mganga huyu we kienyeji kutoka Kusini mwa Tanzania

    Watanzania bwana! Unaandika kwa kujiamini Utadhani unaishi ktk ulimwengu wa roho! Hakuna cha makini , Mayele Mpira umeisha basi .
Back
Top Bottom