Recent content by Fumadilu Kalimanzila

  1. F

    GE2025 Nchimbi kama kajichanganya vile , this goverment will collapse in 3 - 4 years

    Kilaza wewe hujui chochote! Siyo "awamtaki"×unapokanusha jambo weka "h", usahihi ni hawamtaki✓. Acha akili za kijinga za Ki- CHADEMA!
  2. F

    GE2025 Uchaguzi mkuu kuhusisha CCM na vyama vingine bila CHADEMA, ni sawa na ligi kuu huku mmoja kati ya Simba au Yanga akiwa amefungiwa

    Acha kulinganisha Uongozi wa Nchi na vitu vya kijinga! CHADEMA ni wapumbavu acha wavune walichopanda.
  3. F

    Pamoja na kuzunguka nchi nzima, lakini kumbe Peter Msigwa alikuwa anatumiwa na CCM kama karai tu

    CCM Kuna nafasi nyingi tu! Msigwa akae kwa kutulia tu! Cha msingi asiwafuate vichwa maji wa CHADEMA ambao wanachojua ni fitina, kuzira na uzushi.
  4. F

    GE2025 Huyu ndie Paul L Fulano. Kada wa CHADEMA ambaye kama hakuna wizi wa kura lazima awe mbunge wa Sengerema

    CHADEMA Ina watu wa ajabu ajabu sana! Huyu hajui hata kama Kuna No reforms No election!
  5. F

    GE2025 Ninaiomba halmashauri kuu ya taifa kuchunguza ushindi wa mgombea aliyeongoza kura za maoni jimbo la Rorya

    Acha ukabila na ujinga wewe zwazwa! Uliambiwa Bungeni kunafanyika mitambiko ya kijaluo?! Watu wengine ni wajinga sana! Sijui majitu kama haya hutokea wapi?!
  6. F

    GE2025 Ninaiomba halmashauri kuu ya taifa kuchunguza ushindi wa mgombea aliyeongoza kura za maoni jimbo la Rorya

    Hakuna ambaye hakutoa rushwa! Walizidiana viwango tu. Kwani huyo mgombea wako yeye alikuwa anatoa napi ngapi?
  7. F

    GE2025 Mawaziri Pekee Wamechangia na Kuimiminia CCM Kitita cha Millioni 365

    CCM siyo ya kuchezewa! CCM ni Jogoo kubwa mno! Halafu Kuna vijana wajinga wajinga wa CHADEMA eti walikuwa wanalinganisha Harambee ya CCM na Tone Tone!
  8. F

    GE2025 Harambee ya kuchangia kampeni za CCM 2025, Mlimani city (CCM gala dinner 2025) wamekusanya Bilioni 86.31

    Halafu Kuna mjinga mmoja humu alikuwa analinganisha Fundraising ya CCM na vitu vya kijinga vya Tone Tone!!
  9. F

    GE2025 Mmiliki wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth Singh katika hafla ya harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) - Uchaguzi Mkuu 2025

    Acha kutumia maneno ya kiingereza kama hukijui! Watu wawili bado unasema Moneyman × sema Moneymen!
  10. F

    GE2025 Nimecheka sana Baada ya Kuona CCM wamekuja na Tone Tone

    Wewe ni mjinga na msahaulifu sana! Usifananishe mambo ya kijinga ya Tone Tone ya CHADEMA na fundraising ya CCM! Kama kumbukumbu zako zipo japo kidogo ni kwamba wakati Rais Jakaya Kikwete anagombea Urais kipindi cha pili yaani 2010 ,CPA Amos G.Makalla akiwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM na...
  11. F

    Zitto Kabwe ni Asset ya Rostam Aziz ya Muda Mrefu Kimsingi Kawauza Wenzie wa ACT

    In politics nothing happens for just mere coincidence but well planned and executed.
  12. F

    POLITICAL BATTLE MAP: POLEPOLE vs Samia, wanamtandao na wahuni.

    Kuwapigania Watanzania ni kazi ngumu sana ! Ona sasa hata huyu mleta mada kasha-personalize hili jambo kama ni la Polepole binafsi
  13. F

    GE2025 Agosti 9, 2025: Rais Samia achukua fomu ya urais

    Kwani waliomba zuio (injunction)?! Court is not your mother to give you whatever you want!!
Back
Top Bottom