Mimi ni Yanga lakini nasema Simba jana wamecheza vizuri sana! Na Chama anastahili pongezi nyingi!
Pacome ni bingwa kwa sasa na Chama pia ni mzuri.
Tatizo ninaloliona Mimi kwa hapa Tanzania ni kuwa tuna Mashabiki wa mpira maandazi! Hakuna chochote wanachojua zaidi ya ushabiki wa kijinga jinga...
Tumuombee heri Mzee wetu Hayati Ali Hassan Mwinyi na Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi!
Cha msingi ninachojifunza Mimi ni kwamba kila mtu Mwenyezi Mungu amemwandalia maisha yake tangu tumboni mwa Mama yake!
Hivyo kila mtu anayo maisha yake na yenye upekee wake.
Kila mtu ataishi...
Kuna kitu hujui kwenye finance kinaitwa liquidity! Unaweza kuwa na fedha zako unazitegemea lakini wakati una mahitaji hauna hizo fedha mkononi inabidi ukope ili utimize haja zako kwa wakati huo.
Liquidity is ability to meet mature financial obligation.
CHADEMA Kumejaa vijana wajinga wajinga...
Hujui maana ya neno maradufu! Maradufu maana yake ni mara mbili ama kwa kiingereza ni neno sawa na twice.
Sasa Dola 1 kupanda kutoka 2180 hadi 2850 siyo maradufu hiyo!
Jifunzeni mambo! Shule za kata ni nzuri lakini pia zimeleta changamoto sana!
Tuna wasomi hafifu sana ( half cooked)!
Hayati Magufuli tunakukumbuka sana kama ulivyotutabiria!
Hivi inakuwaje Waziri alisema mgawo mwisho Feb 16 2024 lakini leo Feb 18 2024 umeme unakatwa hadi Ikulu!
Hiyo forecast Waziri aliifanya based on data zipi?
Sijui Mwenyekiti wetu aliona nini kwa Paul Makonda!!!
Mimi ni CCM lakini nasema wazi kabisa kuwa Makonda Hana brain, kariba na haiba ya kuwa Mwenezi wa CCM Taifa.
CCM ya Julius Nyerere leo inaenezwa na mtu mwenye tuhuma za mauaji!?!!!
Achilia kutuhumiwa na Tundu Lissu, Paul Makonda...
Paskali hivi Mimi ndo sijui kusoma?! Nimeshindwa kuendelea kusoma makala yako kwani naona haiko sawa!
Lowassa alipumzishwa jana kwenye Nyumba yake ya milele?!!!!
Huyo ni Lowassa yupi?!
Acha Kuandika ukiwa bado na "Maji" kichwani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.