Kama mgeni panda basi linaloenda ferry ukishuka mwisho unarudi kufuata barabara ya mwendo kasi upande wako wa kulia ofisi za takwimu kuna nida na uhamiaji
Nenda nida wilaya ilala ofisi zao zipo kivukoni front pale utapewa form ndio mchakato unaanza utaenda serikali za mtaa utagongewa muhuri,kama in mfanya kazi mwajiri wako atagonga muhuri ,unatakiwa viambatanisho utoe copy.
Enyi waandishi wa habari mkiwa mnafanya mahojiano na hawa wenye mihemko muwe na miamvuli au mifuko kufunikia vitendea kazi sivyo mtapata kazi ya usafi kila ck
Niliandikishwa 2013 na wameshatuma msg nije ofs za nida wakati huo gongo la mboto siku niliyofika nikajibiwa mashine iko msongola nikaondoka sijakanyaga tena,wiki iliyopita nikaenda nida w ilala ,wakaangalia kwenye mtandao hata jina hakuna,nikaona Haya mazito.kwa hiyo nianze upyaa.mwaka huu...
Hats Hugo alieomba cheti cha kuzaliwa cha babu na bibi was nondo apimwe mkojo.vyeti vilianza kutolewa 1961 tulipopata Uhuru, kama walizaliwa wakati huo,na inategemea,wengine wamezaliwa majumbani hata hz kadi za kliniki hawana.
Kweli kabisa yule mama alikuwa anaitendea haki nafasi yake ,taratibu na kwa heshima ya fani alikuwa hafoki kama faru aliejeruhiwa.ni pole pole kwa lugha inayoeleweka.
Ni kweli kina ndio wengi,ni wauza mboga.hawana hasara hao dela na kanga inatosha kila baada ya miaka mitano.hasara si tunaochanganyiwa mafuko yetu kwenye hill fuko litakaloibuka kesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.