Recent content by Fulema Nangwa

  1. F

    Ni mpuuzi pekee ndiye anayeweza kukituhumu CHADEMA kuhusu shambulio la Lissu

    Wewe unasema uongo unaonekana huna hata kumbukumbu:- i. Hivi Makamu wa Rais hukumuona Kenya alivyomtembelea Lusu Hospitali ii. Hukuona Rais aklivyo tweet kwenye Twiter. iii. Lisu alikaa upande wa kushoto wa dereva ni kwa nini Lisu risasi nyingi zilimpata upande wa kushoto . iv.Huyo dereva wa...
  2. F

    Ahadi za Rais Magufuli na CCM 2015 zilivyoshindwa na bado mwaka na miezi 8 tu. Ni ulaghai mtupu!

    Fanya hjuma nyumbani kwako na familia yako. Kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, na asiyefanya kazi na asile
  3. F

    Dr. Vicensia Shule, Mhadhiri aliyeandika ujumbe wa wazi kwa Rais Magufuli ahojiwa na Kamati ya Maadili UDSM

    Vincencia Shule usiogope chochote tupo pamoja nawe kwa yote na majibu utayaona tunafuatilia kwa kina yote na yanayojiri.
  4. F

    Zitto umenena kweli, wafanyakazi hawana shukrani, wabunge mmelia sana hawakuwasaidia sasa ni zamu yao kulia

    Ni kweli wewe uko serious kweli , watu hatulali usiku kwa ajili ya watanzania muwe salama salmini , yote hayo huyaoni mahospitalini, polisi, jeshi na Taasisi zote alafu unatutukana .Hivi kosa la mtu mmoja unaweza kuhukumu kundi kubwa la watu, itabidi tukufahamu vizuri , maana inasikitisha sana.
  5. F

    Tuliokuwa tunamshauri Rais atoke nje kutafuta wawekezaji hatukuwa wajinga

    Wale walienda kuzungumzia mambo ya silaha za nyuklia na si biashara fungua akili kidogo usichanganye vitu.
  6. F

    Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

    Acha uzushi hao vijana wanafahamika na wazazi wao tunao na likizo wanakuja usipotoshe tunawafahamu na wanatufahamu wamesoma na watoto wetu wote ni niwa Tanzania
  7. F

    Reuters: In Tanzania, a bulldozer president tests donors

    Sio kwamba wamekataliwa kabisa kusoma lakini wapepwa nafasi kwenye QT hupo unasoma bila tatizo .
  8. F

    Ukuta wa Mirerani wabamba biashara ya Tanzanite: Hatimaye Kiwanda cha kukata Tanzanite chaanzishwa nchini Tanzania.

    Sonara ni yule anayetegeneza marembo ya dhahabu, fedha na kadhalika , lakini mchonga vito anaitwa lapidary na hawa huwa wanakuwa watu wengi kwa kawaida nenda India kiwanda kimoja kina watu karibu mia na kuendelea na huyu nadhani ndo anaanza
  9. F

    Hasara nyingine kwa Tanzania maamuzi ya kukurupuka soko la dunia korosho ni 2600/= tumepata hasara ya 700/= kwa kila kilo moja ya korosho Zimbabwe

    FInancial Times Please use the sharing tools found via the share button at the top or side of articles. Copying articles to share with others is a breach of FT.com T&Cs and Copyright Policy. Email licensing@ft.com to buy additional rights. Subscribers may share up to 10 or 20 articles per month...
  10. F

    8 Reasons Why Tanzania’s John Magufuli Is Africa’s Most Beloved President!

    Wewe na wenzio lakini sio watanzania wote, tunampenda Rais wetu maana tumemuelewa sana na sie ni wachapa kazi .
  11. F

    Sakata la kuzuia misaada kwa Tanzania: Finland yasema haitaiiga Denmark

    Umoja wa Ulaya (EU) umerithishwa na ujenzi wa maabara ya kisasa ya Tume ya Nguvu za Atomiki (TAEC) ikiwemo uwekaji wa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya sh, bilioni 2.3.
  12. F

    Sakata la kuzuia misaada kwa Tanzania: Finland yasema haitaiiga Denmark

    Umoja wa Ulaya (EU) umeridhishwa na ujenzi wa maabara ya kisasa ya Tume ya Nguvu za Atomiki (TAEC) ikiwemo uwekaji wa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya sh, bilioni 2.3. Akizungumza mara baada ya kutembelea maabara hiyo, Meneja Mradi na Usalama wa Masuala ya Mionzi, kutoka EU, Genevieve Lizin...
Back
Top Bottom