Recent content by FromMahoma

  1. F

    Iran yaanza kujibu mashambulizi yarusha mamia ya drones kuelekekea Israel

    Jamaa hata time zones hazijui. Kudanganya ni sayansi pia.
  2. F

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Hakuna kigezo cha afya ya akili kufanya uwe na akaunti JF .....
  3. F

    Kale ka nchi kanaweza kuvamiwa na kushambuliwa, lakini mwisho wa siku, mvamizi ataambulia kujuta na kusaga meno

    Wayahudi hawaruhusu jirani awe na msuli wa kijeshi kwa sababu za kiusalama. Hamas wanaponza sana rain wao kwa style ya kishamba ya vita kufanya human shield. Vichwa vigumu kama Netanyau au Ariel Sharon enzi zake ni balaa .... you'll be gifted Fire and Fury [emoji91]
  4. F

    Mbwa wa Biden aondoshwa ikulu kwa kung'ata ovyo mpaka walinzi wake

    Saa tatu usiku ushalianzisha ***** ...... thumb up to you.
  5. F

    Kwanini French speaking African nations ndio zina vita tu?

    Hapo issue siyo koloni, bali lugha inayotumika ya taifa husika. Katofautisha French speaking and non French speaking.
  6. F

    Rais aliyepinduliwa Niger aamrishwa kula wali mkavu bila mboga

    Watampa kidole tumbo sasa ....[emoji1787][emoji1787]
  7. F

    Hizbullah: Ndege yetu ya upelelezi imeingia na kutoka salama katika ardhi za Palestina zinazokaliwa na Wazayuni

    Kumbe tatizo na mtazamo wa kiimani. OK... hao unaowa-backup ni kiboko sana mkuu Sent from my SM-N770F using JamiiForums mobile app
  8. F

    Hizbullah: Ndege yetu ya upelelezi imeingia na kutoka salama katika ardhi za Palestina zinazokaliwa na Wazayuni

    Wahuni wameona drone isiyo na madhara waka kausha. Angekuwepo binadamu ingekuwa lawama mida hii. You have to play smart, si kila muda ni violence.
  9. F

    John Bolton, Mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa nchini Marekani ashtakiwa

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
  10. F

    Vikwazo vya Marekani vyaanza kuuma, Huawei yasitiza uzalishaji wa Notebooks na Laptops.

    Yaani OS yao itakuwa compatible na Android? Kwani Android siyo OS? OS (Operating system) inatakiwa kuwa compatible na Hardware...... Hapa ulitakiwa kusema Huawei watatengeneza OS ambayo itafanya kazi kwenye Hardware zao zilizokuwa zinatumia OS za Android....
Back
Top Bottom