Recent content by Frendo

  1. F

    Mwalimu gani mkali ushawahi kukutana nae katika maisha yako ya shule...!!!??

    Mwene, wewe acha Mwl Mwang'onda alikuwa noma mm nilisoma kibasila jamaa alikuwa anatandika bakora si mchezo yule bwana, sekondari nilisoma Pugu wee kulikuwa na vichwa viwili hivyo mmoja alikuwa Wajimila aka Cobra na mwingine alikuwa anaitwa Mukulu usiombe uingie anga zao hao ni noma, hasa huyo...
  2. F

    Wa enzi hizo mnayakumbuka haya?

    Miwatamu umesahau, ukiwa umebeba mfuko wa karatasi ambao unaonekana ndani una kitu mgambo anakukamata kutaka kujua umebeba nn na ukikutwa na sukari au mchele utawaeleza umeutoa wapi
Back
Top Bottom