Mabaki hayo yana athari kubwa ila wengi wetu tunapenda kuchukulia vitu kiurahisi Sana bila kujali athari zake kiafya na mazingira. Soma hii bila kuharibu maana:
"Coal ash, also known as coal combustion residuals (CCRs), is the mineral residue that remains from burning coal. Exposure to coal ash...
Coal ash contains contaminants like mercury, cadmium and arsenic. Without proper management, these contaminants can pollute waterways, ground water, drinking water, and the air.
Tusikumbatie dhana ya ubunifu wa miradi bila kuangalia athari au madhara yatokanayo na uanzishwaji wa miradi ya aina hiyo Kwa afya za binadamu na mazingira.
Lipo tatizo la viwanda kusaka maeneo ya kutupa taka au masalia ya viwandani kwa kuwalipa wahusika ambao hutoa maeneo hayo ili...
Majibu yako yanadhihirisha hujikiti kwenye kutafuta Tiba ya tatizo bali kufanya ili mradi umefunika tatizo huku ulijuwa ni dhahirii litaibukana sura mpya. Yaani kumwaga taka hatarishi Kwako ni bora kuliko kuwa na barabara mbovu?
Nitumie hizo namba ili wachukue hatua haraka.
Taka hizi zina masalia ya kemikali mbalimbali ambazo zikiachwa kusambaa katika eneo hilo ambalo maji hujaa na kutuwama KWA kipindi kirefu, ni hatari KWA afya na maisha ya wakazi wa eneo hilo lililopo Salasala nyuma ya KANISA LA NABII FLORA...
Kuna kiwanda kimoja maeneo ya Kunduchi Salasala kinachotumia nishati ya makaa ya mawe (coal) kuzalisha bidhaa za sabuni.
Ni hivi majuzi kimeanzisha utaratibu wa kusambaza, kwa kutumia magari ya kiwanda, masalia ya coal iliyotumika (coal ash) na kuyamwaga katika Barabara za mitaa.
Kabla ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.