Ni habari ya kusikitisha mpaka nyakati izi bado utekelezaji WA mambo mbali mbali KATIKA ngazi za serikali yanahusisha ujamaa na sio mifumo IMara.
Habari iliyopo ni kwamba manispaa ya Temeke bado hawaoni umuhimu wa maagizo ya wanasiasa kwenye utendaji wao si Kwa uadilifu walio nao ivyo pengine...
Safi Kwa kupaza sauti polisi wetu Wana changamoto hii ivyo ni vyema elimu ya kutosha ikatolewa.
Polisi ni raia kabla ya dhamana walizonazo ivyo inawapasa kuzingatia haji za raia webzao kwani maisha ni duara.
Pengine elimu ya kutosha juu ya wajibu wao ingeongezwa na pia namna zao za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.