Ninahitaji kununua tablets 80 for an NGO(not for profit), natafuta mwenye tablets ambazo zina betri nzuri zaidi ya masaa 4.
Specification
Ram 512mb
Storage 8GB
screen size 7inch
Brand: any
Budget: Tsh.100000
Hii nyumba you need to trust us....ina hati na we are not bad guys. Hatuwezi kuwaweka kwenye trap. We can insure that in front of the court kama anything happen to you we are going to refund.
Haya mbona mnaondoka kwenye mada....kama unaitaka nyumba tuwasiliane. Mnapoteza nguvu sana kwenye kukashifu, ungezihifadhi nguvu for getting money to buy for that of chanika
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa maeneo ya kujitonyama , eneo lina 1000mita za mraba. Ila nyumba imechukua mita za mraba 600. Mazingira ni mazuri pia iko karibu na Mesuma hotel. Ina vyumba vitano na vyoo na bafu viwili. Pia ina store ya nje. Vilevile nyumba hii ina parking capacity ya magari zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.