Recent content by Freed Freed

  1. F

    JamiiForums Tanzania KERO Manyanyaso tunayopitia Wauguzi Watarajali Manyara

    Pole sana Muuguzi. Nenda kwa mkuu wa mkoa hapo jirani tu. Huku wanaweza wasione kilio chako.
  2. F

    JamiiForums Tanzania Hivi hata jeshini Kuna wizi? Huyu mwanajeshi amepata wapi hizi fedha za kuinunua Namanga Makangira.

    Ndiyo maana huwa nawashangaa wanaodai Jeshi letu laweza kuipindua serikali.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Mwigulu hapenyi 2030 — Kuna nini kinawatisha?

    Mbona mapema sana? Serikali imefitinika hii.
  4. F

    JamiiForums Tanzania Kama mfumo umejaa rushwa namna pekee ya kusaidia nchi ni mapinduzi

    Hao wa kudhubutu kuipindua serikali ni kina nani?
  5. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Kwa hiyo tumejengea cement zenye chembechembe na nasaba za binadamu?
  6. F

    JamiiForums Tanzania Kuibuka na kuzama kwa jahazi la Sukuma Gang kwenye medani ya siasa za Tanzania

    Kuna mtu aliwahi kusema humu ndani kuwa, suala la uwepo wa walinda legacy ya Magufuli ni la muda mfupi, watapita na kusahaulika.
  7. F

    JamiiForums Tanzania Mke mwenye waume wawili

    Viroja haviishi duniani. Huenda tukayashuhudia mengi siku zijazo
  8. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mwigulu asijiuzulu ili kunusuru Roho yake?

    Kuna Mwigulu naye anasuguana na Rais?
  9. F

    JamiiForums Tanzania Kimedani: Mtawala au Rais hawezi kuwa na Imani na mtu mwenye ndoto ya kuwa Rais au mtawala kama Yeye.

    Marehemu Lowassa alipitia mlango huu.
  10. F

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Kuna ubaguzi wa kikabila, Utaifa na mpasuko wa kidini, Utanganyika, Uzanzibari

    Zama hizi za utandawazi tunazungumzia ukabila, Ukanda, udini nk. Ni aibu tupu. Mfano mimi Mtanzania nikihamia Marekani wanaweza hata kunichagua Rais japo mhamiaji.
  11. F

    JamiiForums Tanzania Responded Rais Samia: Dar es Salaam ni kuchafu, ni aibu

    Afya ya mtu siri. Kwanini atangaze hadharani Charamila anaumwa?
  12. F

    JamiiForums Tanzania Ni dhahiri sasa vita vya chinichini ni kati ya Mwigulu, Makonda na Ndejembi

    Wenye mamlaka hawalioni hili. Wanalinda maslahi yao.
  13. F

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mvutano wafukuta kati ya JK na YM nani aanze urais kati ya RK na JM

    Kijana mwingine kaja naye DN.
Back
Top Bottom