Recent content by Freed Freed

  1. F

    Watoto waliotelekezwa

    Nimeona hili
  2. F

    Katibu Mkuu CCM kumpinga RC Arusha kimafumbo anataka kumfurahisha nani?

    Alisema ktk utawala wa nani
  3. F

    Tambua udongo uliopo hapa duniani

    Umenisaidia sana
  4. F

    Watoto waliotelekezwa

    True 100%
  5. F

    Unamkumbuka Mr Ebbo kwa kipi?

    RIP Mr Abel
  6. F

    Katibu Mkuu CCM kumpinga RC Arusha kimafumbo anataka kumfurahisha nani?

    Shida ni kuwa watu wengi ndani ya CCM, wamefubaa kisiasa, kuhujumiana ndiyo silaha ya kutokea.
  7. F

    Nilishangaa kusikia Rais wa Marekani hukatwa gharama za chakula na mavazi kwenye mshahara wake

    Amenihakikishia kuwa hujinunulia chakula kwa mshahara
  8. F

    Katibu Mkuu CCM kumpinga RC Arusha kimafumbo anataka kumfurahisha nani?

    Sisi sote tu mashahidi jinsi katibu Mkuu CCM anavyoonesha dhahiri kupingana na Rc Arusha. Ni katika sakata la kuwataja wanaomuhujumu Rais. Katibu amekuwa na mafumbo na kejeli kwa mwenzie. Je anataka kumfurahisha nani? Je anafanya hayo kwa dhamira ya thati? Je, anafurahi wadhifa wa urais...
  9. F

    Nilishangaa kusikia Rais wa Marekani hukatwa gharama za chakula na mavazi kwenye mshahara wake

    Sikuawahi kulijua hili. Kuna ndugu yangu anaishi USA 🇺🇸 kaniambia Rais wa nchi hiyo hahudumiwi bure labda ulinzi na usafiri na mambo mengine machache. Chakula na mavazi Rais hujinunulia kwa mshahara wake au kuchukua kwa bili na mwisho wa mwezi hukatwa na muuzaji pia hukatwa kodi.
  10. F

    ITIFAKI: Ni nani Mkubwa kati ya Waziri Mkuu na Spika wa Bunge?

    Ktk maelezo yako ina maana hata Rais wa zanzibar ni mdogo kwa PM
Back
Top Bottom