Recent content by Freed Freed

  1. F

    GE2025 INEC mmejishtukia kuitwa Tume ya CCM hadi mkaamua kuondoa live ya tukio la Mgombea Samia kuchukua fomu?

    Wangerusha kwa wachukuaji wa CCM ingebidi warushe na kwa wachukuaji wa vyama vingine. Hata siku ya urejeshaji hata ikiwa TBC watafaya hivyo itabidi Watende haki kwa warejeshaji wote. Kitu kikiwa cha Umma haimaanishi wawapedelee wenye serikali tu!!!.
  2. F

    Mpina anarudia makosa yale yale ya kina Mrema, Membe na Lowassa

    Amehamia CCM? na atagombea Urais. Huyu ni CCM tangu zamani. Mgombea urais ni Samia Suluhu.
  3. F

    GE2025 Wajumbe wa CCM wamuhenyesha Mnyeti kura za maoni, aangushwa vibaya

    Alikuwaga headmaster wa sekondari akateuliwa DC na Magufuli. Hata baiskeli hakuwa nayo kipindi hicho. Saiv mashallaah.
  4. F

    Tetesi: Mvutano wafukuta kati ya JK na YM nani aanze urais kati ya RK na JM

    Hivi kuna mtu mwenye kifua kama marehemu Lowassa?
  5. F

    Tetesi: Mvutano wafukuta kati ya JK na YM nani aanze urais kati ya RK na JM

    Pia awe makini na simu zake kudukuliwa
  6. F

    Tetesi: Mvutano wafukuta kati ya JK na YM nani aanze urais kati ya RK na JM

    Sijajua EN atajilindaje na kudumu hadi 2030
  7. F

    Tetesi: Mvutano wafukuta kati ya JK na YM nani aanze urais kati ya RK na JM

    Unataka kusema nani atatuletea mgombea 2030 kati yao wawili?
  8. F

    Tetesi: Mvutano wafukuta kati ya JK na YM nani aanze urais kati ya RK na JM

    Naona kama vile amekikaba na kukiteka chama wakati huu.
  9. F

    Tetesi: January Makamba kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara

    Washamchinja tayari. Atafufuka?
Back
Top Bottom