Recent content by Freed Freed

  1. F

    JamiiForums Tanzania Maji yanayochanganyika na mafuta yagundulika Malindi, Serikali yaanza uchunguzi

    Hivi kumbe ni dumu tu? Mi nlijua ni mkondo au shimo kubwa la mafuta.
  2. F

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Bal. Dr Batilda Burian, Awakaribisha Wana Tanga na Vitongoji Vyake, Kesho Kwenye Uzinduzi wa Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu

    Asante kwa taarifa. Wiki hii ya elimu na ubunifu uende sambamba na umakini wa kuandaa mitaala bora na sera imara ya elimu kwa hatma ya kizazi chetu cha leo na kijacho.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDOM, Dkt. Kaijage akatiwa Umeme, Maji baada ya kupewa kesi ya Ugaidi

    Wanafanya mambo ya hovyo sana. Familia nzima inaadhibiwa kisa nini? Watakuja kujuta wenyewe baadae kuwa tulifanya mambo ya ajabu sana kwa watu tukiwa madarakani.
  4. F

    JamiiForums Tanzania "Ema The Boy" komalia hapo hapo. Hakuna kung'atuka, Waswahili wasituvurugie nchi yetu

    Patamu hapo. Samia naye ana wake kichwani. Wakiwa wamemlenga moja wote wawili huyo mgombea ataingia tatu bora ila kushinda ndiyo kama yale ya Magufuli.
  5. F

    JamiiForums Tanzania "Ema The Boy" komalia hapo hapo. Hakuna kung'atuka, Waswahili wasituvurugie nchi yetu

    Hivi hawajapanga nani atapokea kijiti 2030? Nahisi wanalo jina mfukoni yeye Kikwete na Samia.
  6. F

    JamiiForums Tanzania Haka kamchezo ka leo kamenichekesha sana!

    Sidhani kama watabadili msimamo ili kudoea hela za umma wasioifanyia kazi. Ni dhambi kubwa kwa kanisa.
  7. F

    JamiiForums Tanzania "Ema The Boy" komalia hapo hapo. Hakuna kung'atuka, Waswahili wasituvurugie nchi yetu

    Tunaomba nchi ibaki salama
  8. F

    JamiiForums Tanzania "Ema The Boy" komalia hapo hapo. Hakuna kung'atuka, Waswahili wasituvurugie nchi yetu

    Mwakilishi aliyetumwa na kubip kwa kumuita Yuda unaona alivyonangwa? Mambo ni mazito.
  9. F

    JamiiForums Tanzania "Ema The Boy" komalia hapo hapo. Hakuna kung'atuka, Waswahili wasituvurugie nchi yetu

    Every body stand up x 5.
  10. F

    JamiiForums Tanzania "Ema The Boy" komalia hapo hapo. Hakuna kung'atuka, Waswahili wasituvurugie nchi yetu

    Jacob, Ackson, Mpango, Ema The Boy etal. Ingekuwa mtaani huku ungesikia hajui kuishi na watu
  11. F

    JamiiForums Tanzania "Ema The Boy" komalia hapo hapo. Hakuna kung'atuka, Waswahili wasituvurugie nchi yetu

    Anaweza kuwahiwa Boss. Nyamaza tu wote wawili wapo hatarini mnoo.
Back
Top Bottom