Recent content by Freebird

  1. F

    Video: Pamoja na lawama kwa bodaboda, kwanini Junction ya mwendokasi Kisutu haijawekwa taa za kuongoza magari mpaka leo licha ya kuwepo ajali nyingi?

    Junction ya morogoro road/ jamhuri hamna, junction ya morogoro road/ India Street, junction ya morogoro road/ indira gandhi- zote hapo hamna mataa.
  2. F

    Kugongana kwa mabasi Sauli na New Force lilikuwa jambo la Muda tu

    Ndiyo nashangaa, dereva ana overspeed, abiria wamekaa kimya!
  3. F

    Serikali ipongezwe kwa hili la jambo la Bima

    Kuna wagonjwa wengi wako kwenye dialysis three times a week. Si watakufa tu!
  4. F

    NHIF: Tumeona matangazo ya Hospitali zinazositisha huduma, wamekiuka mkataba

    Kuna wagonjwa wako kwenye dialysis. Hospital za serikali zitaweza kufanya dialysis kwa wagonjwa wote wa dialysis?
  5. F

    Uaminifu ni bidhaa adimu sana Tanzania

    Watanzania wengi ni kleptomaniacs. Ni ugonjwa wa kuiba.
  6. F

    Uteuzi na Utenguzi: Dkt. Kihamia ateuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa DART, Kuji awa Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA

    Duh! DART ina Mtendaji Mkuu? No accountability/ innovation!
  7. F

    MSAADA: Utukutu wa mtoto wa ndugu yangu unanishinda, anafanya matukio kila kukicha, nifanyaje?

    Huyo mtoto ana psychiatric disorder: conduct disorder. Labda psychiatrist/ psychologists wanaweza ku deal nae. Wapo muhimbili.
  8. F

    Ghorofa refu Tanzania litakuwa hili la TRA DSM, nembo ya jiji

    Majengo yote mnajenga posta. Na parking ya kutosha ipo?
Back
Top Bottom