Recent content by Fredrick Kabati

  1. F

    JamiiForums Tanzania Tujikumbeshe waraka huu wa Lema kwa rais Kikwete na kile kinachotokea leo

    Yawezekana Mheshimiwa alipoupata alihisi kama wengine wahisivyo kwamba waraka huu si wa Lema bali amepewa na mtu mwenye busara sana, na akadhani kuufanyia kazi ni kufanikisha siasa za Lema na CHADEMA. Lakini cha kusikitisha zaidi nahisi aliona auweke kando kwa kuhisi kwamba huu ni upepo tu...
  2. F

    JamiiForums Tanzania Jerry Silaa: CHADEMA walinipa ushindi

    Nasema hivi hako kajamaa ni kamburura, angekuwa ana uwezo wa kuisambaratisha CHADEMA kihoja na kikejeli asingekuwa na wazo la kutumia mpaka kituo cha polisi cha () kujizuia maovu yake. Waelewa wote tunaelewa kwamba kajamaa kameingia CC kwa niaba ya kazi za mtu fulani tena mtoto wa ()...
  3. F

    JamiiForums Tanzania Hebu tujiulize ni nani Chanzo cha matatizo kwenye maandamano ya CHADEMA.

    Imezoeleka kwamba kila unaposikia maandamano, basi unakuwa ni mwanzo wa vurugu, kukosekana amani na utulivu, hali hii imekuwa mbaya zaidi imefikia baadhi ya watu kupoteza viungo na hata maisha. Hali inayopelekea uvumi mkubwa kwamba CHADEMA ndio chanzo au kiini cha matatizo hayo bila serikali...
Back
Top Bottom