Recent content by Fred Matuja

  1. F

    Mhe. Mbowe - Kama wewe ni MWOGA acha SIASA

    ...If you're a fearful get out of politics... Hii ni moja ya kauli ambayo nimeikubali sana kwa kuwa si tu imetamkwa na Mhe. Mbowe kwa kuwa ni mwenyekiti - CHADEMA (T) na mkuu wa kambi rasmi ya Upinzani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bali imetamkwa na mtu ambae ni kiongozi, na kama...
  2. F

    Vijana Tanzania tuinuke na kuwa sehemu ya mabadiliko ya kweli

    Nataka kuona vijana wa Tanzania tunainuka na kuwa chachu ya mabadiliko ya kweli katika jamii zetu. Tunahitaji mabadiliko ya kifikra katika nyanja muhimu mfano, kiucumu, kisiasa na kijamii. Vijana tunaweza na tukisimama kwa umoja na kuiona Tanzania kama kiunganisho chetu tunafika mbali. Natamani...
  3. F

    Kamanda Mawazo apata Mwana CCM mwingine

    Kutokana na juhudi za Kamanda Mawazo Alphonce alieko Mkoani Kagera kwa ajili ya M4C, jana jioni familia ya Kagasheki imehamia Chadema. Mdogo wa Waziri Hamis Kagasheki anaeitwa Mbubarak Kagasheki pamoja na nduguye mwengine walimkabidhi kadi zao za CCM kamanda Mawazokwenye uwanja wa Rwamishenye...
  4. F

    Wajumbe wa Tume hulipwa Kiasi gani cha fedha nchini Tanzania

    Habari wadau, Napenda kufahamu ni kiasi gani wajumbe wa tume hulipwa pale wanapoteuliwa kutekeleza majukumu yao. Na wajumbe hao, hilipwa kwa siku au kwa mwezi? Wajumbe hao hukipwa mishahara au posho? Ni lini bajeti ya tume ilitengwa na kuidhinishwa na kikao gani ili fedha hizo zitumike? Ni kwa...
Back
Top Bottom