Alikua kwenye mishe zake na Alikua anapaki bodaboda kando. Swala sio kwamba kwa Nini wamemgonga. Ila shida Ni Ile utu wa kwamba umesababisha ajali inahitaji uonyeshe ushirikiano wowote Hata wa kumjulia Hali muathiriwa. Unafikiri aliyemgonga aliwaza Nini, Kama sio kusema tu "achana nae" ndo maana...
Watanzania wenzangu, sina huzuni kwa sababu sipo Kati ya washindi wa stories of change, Ila huzuni hii niliyonayo imeniumiza mno. Jana kulikua na msafara wa waziri huku kigoma, msafara ule najua ni kwa bahati mbaya wakamgonga mjomba angu na akafariki palepale, Cha ajabu Wala hawakusimama...
Habari zenu watanzania wenzangu. Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya Uandishi na Utangazaji wa Habari.
Pia Hata kwa kazi ya kujishikiza huku nasubiri cheti, nipo Dar es salaam wilaya ya Ilala, ukonga. Kazi ya dukani hata mashuleni nafanya.
Asanteni 🙏
Kila mtu na bahati yake. Kazi haiji bila kuitafuta hivyo hata ukisoma kozi nyingine utatafuta tu. Kasome kozi hiyohiyo Tena kuwa huru kabisa na amini utatoboa.
Sasa Kama humu mtandaoni post nimetuma Mimi na unaona bahati Yangu imejitokeza ya Nini kuingilia Kati. Tukifanya wote kazi si utanifanyia figisu ili ubaki wewe. Kama unataka kazi kuwa wazi kwa post yako update riziki yako jamani. Labda Kama ningesema siwezi ndo unitokeze useme unaweza ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.