Nimelazimika kuuliza hivi kwa sababu ya changamoto za hapa na pale za kila siku, mfano ukinunua bidhaa dai risiti ukiuza dai risiti kwa mujibu wa TRA! Mara nyingi nimekumbana na adha ya maana halisi ya tiketi mfano mara nyingi tiketi zinazotolewa na wakala wa usafiri wa treni hasa dar hurudishwa...
Siku nyingine unapoomba ushauri hasa wa kisheria kua waz na si kumeza maneno vinginevo utaambulia majib mafupi yenye tija ama yasio na tija kisha tatizo likabaki palepale la kutoelewa,
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.