Recent content by Frankmarium International

  1. Frankmarium International

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu Biashara ya Bajaji

    Madereva ndio changamoto. Nakumbuka niliwahi kununua Bajaji kwa malengo ya kibiashara, lakini pale mwanzo sikuwajulia kwahiyo nikawa nawapatia wanalala nazo sasa changamoto ikawa ni wajeuri wanaleta hesabu kwa kujisikia au mpaka mpigizane kelele na ukizidisha sana wanakuletea Gharama za...
  2. Frankmarium International

    JamiiForums Tanzania Blog inayolipa kwa Sasa

    Unaweza kuchagua jat Niche yeyote ile yaweza kujipatia viewers wengi kulingana na ubora wa maudhui yake, mfano mwengine huweza jipatia viewers 2000 hadi 5000 kwa siku au saa. Kitu cha pili hakikisha blog Yako inapatikana kwenye search engine zaidi ya 50 pamoja na kushiriki link ya maudhui mapya...
  3. Frankmarium International

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kujiuliza, ni kwanini asilimia kubwa ya madini ya vito hupanda thamani zaidi yafikapo katika masoko ya ngambo ?

    Jibu ni kwamba hasilimia kubwa ya wafanya Biashara na Wachimbaji wa Madini ya Vito hapa Tz, wengi wao hufanya biashara kwa mazoea, Huku wakiyafahamu vyema kwa mtizamo, lakini ukijaribu kuangazia zaidi katika upande wa thamani halisi huwa ufahamu wao ni Mdogo mno, kitu ambacho hukatisha tamaa...
  4. Frankmarium International

    JamiiForums Tanzania Vitabu vya muongozo wa thamani za madini

    Je, umekuwa ukifanya Biashara ya Madini ya Vito pasina faida au kutokuzitambua Thamani zake halisia ? T-TanzaniteGram Blog ndio suluhisho la pekee. Nunua Vitabu vitakavyo kupatia mwongozo wa Thamani za Madini ya Vito aina zote kwa mwaka 2025. WATAALAMU. Thamani zilizo orodheshwa ndani mwa...
Back
Top Bottom