Hivi kweli Mtwara na hali ngumu ya maisha bado mji wenyewe haujachangamka wala kukua sana na leo hii gesi inapatikana ambayo hiyo ndio ingestahili kuwa chachu ya maendeleo ya Mtwara badala yake eti ipelekwe Dar na watu pamoja na huyu mbunge anashabikia,hivi kweli ni akili hiyo au? Dar kila kitu...
Jamani Watanzania wa leo kweli bado hatuwezi kufunguka na kuangalia mbali? Mtu huyu huyu ndio aliejiuzulu kwa kashfa alafu leo hii anataka nafasi ya urais na jinsi tulivyowanafiki wale ambao ndio walkua wanaongoza ndani ya bunge na hata nje ya bunge kumsema ndio wakwanza leo hii mnamuunga mkono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.