Recent content by Franklin1902

  1. Franklin1902

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kiongoz naona upo. Kwema?
  2. Franklin1902

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mkuu habr ya siku nakusalimia kiongoz. Yule tapeli wenu mkuu yupo?.. Au ndo yupo black sites kajificha? Au kaja na id nyngne?
  3. Franklin1902

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wazee wa fezi naona mpo. Arsenal ibebe kombe la maana nyakat izi kwl?.. Na nyie mpo hapa mnaamin ilo?
  4. Franklin1902

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tulijua Aya yatatokea tulikua tunasbr tu yatatokea Lin bas😂 Yan Arsenal kua bingwa ni kitu ambacho hakiwez kua mtateseka Sana bado Sana.
  5. Franklin1902

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Hawa wapuuz walikua wanatuchelewesha tu. Wangepata hata draw wangetamba Sana.
  6. Franklin1902

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    [emoji23][emoji23]Tena kitonga.
  7. Franklin1902

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Picha za baadae zimeanza kutoka.
  8. Franklin1902

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Hakika mkuu. Hakuna kufeli tumetimiza jambo hatimae. [emoji471][emoji1081]
  9. Franklin1902

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Kwny mpr usidharau kbs mtu.. Yan mpr ndo mchezo wa htr na unaweza ukakufanya ukabak unashangaa. Mm leo nilikua na waswas Sana navosikia Kila mtu anaimba kua Nigeria leo mapema Sana. Hawa wapuuz walikua na bahat na walikua wanaenda Kila hatua unaona wanabadilika na wanapata morali ya kupambana...
  10. Franklin1902

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Kbs Nigeria waliona hii final Yao. Ogopa Sana mtu Alisha nusulika kufa akapona lzm awe makini.
  11. Franklin1902

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Hawa wajinga walikua na bahat. Asee lkn huwez kusema hakustaili wamestaili wamecheza vzr Sana Asa leo na yote iyo ni upumbav wa Nigeria pia kurelax. Kongolee AFCON champions [emoji1081]
Back
Top Bottom