Tanzania daima ni gazet la mtu binafsi hivyo yuko huru kuandika habari kwa interest zake kama ilivyo star tv ila habar leo ni gazet la serikali alitakiwi kufungamana na upande wowote kwan linaendeshwa kwa kod za wananchi wote bila kujar itikad za vyama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.