Recent content by Frankant

  1. F

    Jengo la CCM Mtwara lateketezwa kwa moto

    Ndio matokeo ya serikali kutokuwa sikivu, na kutumia nguvu kubwa kupambana na wananchi. Jamani serikali ikae na wananchi wa mtwara na iwasikilize kusudi wapate ufumbuzi wa kudumu kuhusu suala lao hlo jepesi sana.
  2. F

    Fikra Mbadala: Lowassa kama Rais itakuwa ni Kikwete 2.0 (Marudio ya 2005)

    Aliyepata kujua kilichozungumzwa kwenye mkutano wa Kikwete na wabunge wa ccm juzi kati hivi pale Dodoma. Utajua kuwa hakuna kiongozi yeyote CCM, Kama wanaCCM wanaoikosoa ccm wanaonywa mf. Mpina, Filikunjombe na mwenzake. Unarajia aje nani mwenye mtazamo chanya kwa taifa hili. Hamna yeyote hap...
  3. F

    Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

    Karibu sana Prof, umefanya uamuzi sahihi sana. Shiriki katika kutetea haki za wanyonge. Taifa tulilonalo limekosa mwelekeo kwa sasa. Mimi na wewe ndo dira.
Back
Top Bottom