kikubwa ni kwamba tume ni ccm.ni vigumu kukitangaza chama cha upinzani.kwa matokeo ya urais tanzania bado sana.kuna vitendo vingi viovu vinafanyika ndani na huku raia hatuelewi.tunaletewa tu matokeo na kushangalia.baada ya mwezi life yetu inarudi kuwa ileile ya mlo mmoja.watu hawafukirii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.