Ndugu zangu napenda kujua hivi inakuwaje kwenye mfumo wa ajira portal nilifanya application nikawa shortlisted nkaenda written na oral nikaenda sasa ile application nilifanya sahivi kwenye ajira portal haionekani tatizo ni nini hapo.. Wakati ndo muda wa kusubiri matokeo kama nitapangiwa kazi au laa
Message…Napenda kujua bei ya vile vifaa au zile helufi zitumikazo kutengenezea kacha za mkononi kwa ujumla vinauzwa kwa bei gan nataka kuanzisha ujasriamal
Message…Napenda kujua bei ya vile vifaa au zile helufi zitumikazo kutengenezea kacha za mkononi.....KWA bei ya jumla vinauzwa kwa bei gan.. Msaada wenu jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.