Unfortunately,the chicken cartels in Kenya made sure that the Quail never made it's debut in the country.They corrupted the media who tried to completely annihilate the quail and demoralize farmers.However,the tables have now been turned around.This cute diminutive bird is already claiming it's...
When it comes to private enterprise, most 15-year-olds are doing well if they have a paper round. Tommy Burner has gone one better. He has built up a business breeding poultry and selling eggs to local shops and restaurants; he owns 3,500 quail and 300 ducks, and he has earned enough to import...
Asante Mkuu.Mbona ukajiita saa kumi na mbili?Mimi nawaweza kujiita 2359HRS maanake mimi ni mweusi kiasi kwamba tofauti kati yangu na usiku wa manane ni dakika moja tu.hehehe
Mkuu Naomba kuchangia kidogo.Hawa kware ni wa umri upi?kama ndo wameshatotolewa,wape chakula kama vile vifaranga wa kuku.yaani Chick start(unaichanganya na maji),starter mash kama ya broiler,glucose na maji.Chunga wasiingie ndani maji maanake watafariki.Waweza kutumia bakuli ya maji lakini uweke...
Thank you sir.With all due respect,i acknowledge everyone's opinion or idea and even encourage it.But no one has a right to force their opinion on you if you're not willing to accept it.The negative articles,regarding quails,in the kenyan newspapers are written by officials who have been...
Mkuu..Asante kwa maoni yako.Siko hapa kuwalaghai watu.Nataka kuwekeza huko Tanzania.Nina mayai na mashine ya kutotolea.Nataka Mtanzania wa kushirikiana naye.Sina ubaya wowote.Mimi mwenyewe ntayaleta mayai.
Samahani..Jibu lako lako nimelituma pasipofaa. Mkuu..Asante kwa kuchangia maoni wako.Ni jambo la kusitisha eti serikali ya Tanzania haitaki tufanye biashara.Hii ni fursa njema sana yako wewe tutengeneza mamilioni ya pesa.Usiogope Taratibu za serikali.Mimi mwenyewe nilianza ufugaji wa kware...
Mkuu..Asante kwa kuchangia maoni wako.Ni jambo la kusitisha eti serikali ya Tanzania haitaki tufanye biashara.Hii ni fursa njema sana yako wewe tutengeneza mamilioni ya pesa.Usiogope Taratibu za serikali.Mimi mwenyewe nilianza ufugaji wa kware bila cheti kutoka kws.Kuna watu wengi wanoufuga bila...
Hamjambo marafiki wa kware!Mayai ninayo kwa bei ya shilingi 300 kila moja ila niko kenya.Nambari yangu ya simu ni +254726984981.Mayai haya ni freshi,yametagwa na kware wangu wenyewe na yako tayari kupelekwa kwa mashine ya kutotolea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.