Recent content by frank mariam

  1. F

    Ukitaka mke wa kuoa, basi oa Mkurya

    nina demu wangu wa kikurya,in short nimemchoka,ila ananipenda,yani haachiki,ana huruma, hapendi kuniona nafuria,ila tatizo lake ni mvivu na anadanganyika sana na mambo madogo,yani akiwa na shida hata ukimpa ushauri wowote anaufanyia kazi,ukimsaidia unaweza kumpata......ila mambo yakibuma ndo...
  2. F

    UDOM wanafunzi wageuka mtaji

    mmmmmh...hako katabia kweli kapo sana hata hapa saut mwanza hasa kwa wanao soma kiswahili,ticha anawaambia mtihan wake mnaingia na vitabu vyake na majibu yapo humo na hakuna kuazimanA,baada ya pepa na kitabu hakina kazi tena,sasa kwa staili hii tutafika kweli? wawe na utu hawa malecturer
Back
Top Bottom