Japo me nipo kwenye hiyo hali ila tunapaswa kujua fulsa zilizopo mahari tunapoushi mfano ardhi ya huko inasupport nini na soko lake lipo wapi?
Me naweza kukuambia tafuta miguu ya kuku uza but vipi nature ya watu wa pande hizo wanapenda hizo dokoa dokoa?
Pole ila tunapaswa kujua fulsa zilizopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.