Recent content by frank dux

  1. F

    Natafuta kazi ya udereva

    Habari zenu wadau,mimi ni kijana,nipo dar natafuta kazi ya udereva,nina cheti cha form six,ufaulu ni division III,Nina 2 principal pass,1subsidiary,certificate of attendance ya computer maintanace&repair(Ardhi university),certificate in teaching education for licenced teacher,Driving...
  2. F

    Walimu wanapatikana hapa

    Walimu wawili,graduate na experinced.mmoja anauzoefu wa miaka 6 ya kafundisha secondary,secondary ya kawaida na watu wazima(adults) wanafanya QT,kwaa hyo miaka yote kafundisha hist,geo&civics,pia anaweza kufundisha ICT kwa secondary.ni computer literate.na wapili ni fresh from university(UD)...
  3. F

    Natafuta kazi ya udereva

    Duu,wewe omba tuu usjar wala ususubiru mtu akuruhusu,yeyote atayepata poa tu,unajua ika anayeomba kazi ana viwango na mahtaji yake ya salary,ila ww kwa hayo ma class c yako ungepata serikalin ndo ingekufaa zid,ya ungefkia malengo yako mapema na kuachana na uderva wa kuajiriwa na ungeajiri...
  4. F

    Natafuta kazi ya udereva

    Kesho asubuhi wamenambia niende hao waturuki,ka unajua wanalipaje naomba unambie,ili napoongea nao niwe na pakuanzia,je hii nafac ni mpya au dereva alikuwepo akaacha?,km aliacha kwann?
  5. F

    Natafuta kazi ya udereva

    jamaa nimempgia,kanambia niende ofisini kwao mbezi beach kesho asubuhi,vp hawasumbui?,na je malipo yao yapo vizuri?
  6. F

    Natafuta kazi ya udereva

    dereva,mimi ni kijana wa kiume(31)nina uzoefu wa zaidi ya miaka mitatu katka tasnia ya udereva,nina driving licence class E(a,b,d,&e) na driving certificate,ninazungumza lugha za kiswahili na kiingereza na kuandika kwa ufasaha,nina elimu ya kidato cha sita,na uwezo wa kutumia computer(computer...
  7. F

    Natafuta kazi ya udereva

    Habari ya majukumu,na hongereni kwa kazi ya ujenzi wa Taifa,mimi ni kijana wa miaka 31,ninatafuta kazi udereva,katika kampuni,taasisi,shirika na hata kwa mtu binafsi,nina driving licence class E(a,b,d&e) na driving certificate,nina uzoefu wa zaidi ya miaka mitatu,ni mwenyeji wa maeneo mengi ya...
  8. F

    Wapi nitapata mkopo wa dharura wenye masharti nafuu?

    Asante ndugu yangu,hivi cwez kutumia hata viji asert vyangu vya ndani kwa ajili ya kupata kamkopo hata kadogo.
  9. F

    Wapi nitapata mkopo wa dharura wenye masharti nafuu?

    Habari zenu wana JF,polen na majukum ya kila siku.mimi ni kijana wa miaka 33,sina ajira rasmi kwa sasa,ila natarajia kuanza kazi tarehe 01/07.lkn bahata mbaya kwa sasa nina uhitaji wa fedha,kiasi cha 600,000 tu. Hivyo natafuta kampuni/Taasisi/mtu binafsi ili nikope au nikopeshwe hcho kiasi...
Back
Top Bottom