Mi natafuta soko kuendana na mahali ulipo nakuletea mfano nikitoa Tabora mchele mzuri una 1800 hadi 1700 grade 1 kwa mikoa ya Arusha ,Dodoma na kilimanjaro
Waheshimiwa, Habari za uzima?
Nataka nianze biashara ya mchele kutoa mikoa ya Mbeya, Morogoro, Tabora na Singida niwe napeleka Arusha, Moshi, Dodoma. Tupeane mnyumbuliko wapendwa, sina uzoefu na hii kazi.
Tusaidizane jamani
Nataka nidhubutu kuwa nauza mchele kwa kusafirisha kutoka mikoa ya magharibi kwenda mikoa ya mashariki
Tupeane Chanel wadau japo mtaji no mdogo la nataka nianze na huo huo, nasikia inalipa endapo utapata shule uwe unazihudumia, Taasisi ama Kampuni
Tupeane channel wadau
Jamani Mimi ninaplani ya kufanya biashara ya mchele kwa wale was Dodoma,Arusha na moshi mchele unabei gani na ili niweze kuuza hata tani moja kwa siku mbili nianzieje!??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.