Habari za Asubuhi
Namshukuru Mungu sana kwa siku ya Jana na mm nimeweza kulamba asali hii ikiwa ni oral yangu ya kwanza kuingia apo mwezi wa tano (nilikandwa written kama nne hivi ).. Namshukuru Kwa kweli Mungu Sina Cha kumrudishia hakika wakati wake yeye ndo sahihi kwa maisha yetu ..Nizidi...
Nakubaliana na wewe ndugu ..saiv asilimia zaidi ya 70 ni kupata halmashauri..lakini kama mtu utajiongeza fursa Huwa zipo Kila mahala..maisha hayana formula kabisa naamini Kuna watu wapo halmashauri na wapo vzr kimaisha japo wanaweza wasie wengi
Mm ninachokiona ndugu ..ukiappply kazi Serikali ukaitwa na kwenye mchujo na kufika oral vzr usitegemee kuitwa kwa haraka ..yani hayo mategemeo yafute kichwani hii itakupunguzia wewe mawazo mengi ..yani ni kama unafanya zako oral Kisha tembea mbele unaendelea na mishe nyingine izo ndogondogo Ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.