Kusambaratika ndilo neno hasa alilotumia Polepole.
Bila shaka unamsapoti bila kujua.
Umesema "au wakirudi kupitia chama chao."
Awali nimekuuliza kuna ubaya gani jamaa akipigania mabadiliko akiwa huko kwao, ilimradi mabadiliko ni ya kweli?
Ni wazi hujui unalozungumzia au mko wawili mawazoni...
Kwamba walijaribu kumfuga kumbe jamaa wa kubagaza na kubananga yeye hafugiki?
Hatari sana.
Nadhani hiyo ndiyo sifa mojawapo ya kiongozi bora - kukataa kufungiwa kwenye chupa.
Kuhusu Lowassa nadhani alifafanua kwamba kwanza walijua fika asingeshinda na hata kama angeshinda asingetangazwa.
Pili ambalo ndilo lengo kuu lilikuwa kujizolea idadi kubwa ya wabunge ili kwenda kuchochea mabadiliko ya msingi huko Bungeni.
Simtetei TAL. Niko tu kwenye hoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.