Kuolewa co birthday mkuu!!!!!!!! Na wala co mashindano. Maisha ni kujipanga. Kuolewa au kutokuolewa ni maamuzi ya mtu binafsi na zaidi ya yote ni mipango ya Mungu.
mkuu binafsi nashukuru sana kwakutudadavulia Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)
lakini kwa bahati mbaya sijaona PHTS,PGSS na PTSS. Naomba msaada kiongozi.
Jamani nina rafiki yangu anafanya kazi kwa mkataba katika chuo flani cha serikali mkoani.
Sasa Mungu amemsaidia kapata kazi ya kudumu serikalini. Tatizo ni kwamba kule alipo yaani mkoani kwenye kazi yake ya mkataba mshahara ni mzuri na maslahi yapo kama , hela ya nyumba, uasfiri n.k. Huku kupya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.