Recent content by FORTUNE JR

  1. FORTUNE JR

    Siku 180 za “NoFAP” Challenge. Vitu vikubwa na mhimu nilivyojifunza

    Mkuu kazaaa. Ukiona mapambani ni makali ujue ushindi wake pia una Thamani kubwa
  2. FORTUNE JR

    Siku 180 za “NoFAP” Challenge. Vitu vikubwa na mhimu nilivyojifunza

    Apana mkuu hawezi. Amekua akinijenga sana
  3. FORTUNE JR

    Siku 180 za “NoFAP” Challenge. Vitu vikubwa na mhimu nilivyojifunza

    Kama wewe Huamini, Mimi naamini Mkuu . Lolote linawezekana Kwa Uthubutu na kwa Ukuu wa Mungu. “ Stay safe in that your Comfort zone”
  4. FORTUNE JR

    Siku 180 za “NoFAP” Challenge. Vitu vikubwa na mhimu nilivyojifunza

    Asante sana. Na wala sikatishwi tamaa na izi Comments, as longer as nimeona mabadiliko makubwa katika maisha yangu , sina haja na kukatishwa tamaa na wasio amini. Mimi binafsi hii challenge nilikuwa inspired na Mdau humu humu JF na nilitamani siku moja nione matunda pia hata kama kwenye ule uzi...
  5. FORTUNE JR

    Siku 180 za “NoFAP” Challenge. Vitu vikubwa na mhimu nilivyojifunza

    Mkuu kazaaa, lakini jitahidi kuweka Ratiba yako vizuri na Mungu, Hii challenge ukitumia akili za kibinadamu ni ngumu kwakweli. Nakuombea utimize lengo lako
  6. FORTUNE JR

    Siku 180 za “NoFAP” Challenge. Vitu vikubwa na mhimu nilivyojifunza

    Asante mkuu. Na mimi na Amini siku 180 kuludi tena ni jambo ambalo nitakua nimelipanga na kulitaka mwenyewe. Maana kiukweli sahizi najikuta hata hilo swala haliniingii kabisa akilini kiukweli
  7. FORTUNE JR

    Siku 180 za “NoFAP” Challenge. Vitu vikubwa na mhimu nilivyojifunza

    Maswala ya show mbovu ni skendo kiukweli kama nilivyotangulia kusema . Ila swala la Mchizi kujipiga kitanzi kwa Kusalitiwa ni ukweli kabisa. Na kwanini nidanganye sasa Mkuu tena kwenye issue ya kifo
  8. FORTUNE JR

    Siku 180 za “NoFAP” Challenge. Vitu vikubwa na mhimu nilivyojifunza

    Speed 180 hakuna kurudi nyuma. Naludije utumwani Tena mkuu kuwa mateka
  9. FORTUNE JR

    Siku 180 za “NoFAP” Challenge. Vitu vikubwa na mhimu nilivyojifunza

    Mkuu kwa unavofikiri, nadhani unahisi labda hii hali inanipa shida sijui kuniongezea Ashki , lakini hapana kabisa. Unadhani Mababu zetu zamani waliishi vipi? Kwasabu kupata Mwanamke wakupunguza izo manii kwa Zamani kidogo haikua rahisi , na ndo maana asilimia kubwa zaidi ya wanawake waliolewa...
Back
Top Bottom