Asante sana. Na wala sikatishwi tamaa na izi Comments, as longer as nimeona mabadiliko makubwa katika maisha yangu , sina haja na kukatishwa tamaa na wasio amini.
Mimi binafsi hii challenge nilikuwa inspired na Mdau humu humu JF na nilitamani siku moja nione matunda pia hata kama kwenye ule uzi...
Mkuu kazaaa, lakini jitahidi kuweka Ratiba yako vizuri na Mungu, Hii challenge ukitumia akili za kibinadamu ni ngumu kwakweli. Nakuombea utimize lengo lako
Asante mkuu. Na mimi na Amini siku 180 kuludi tena ni jambo ambalo nitakua nimelipanga na kulitaka mwenyewe. Maana kiukweli sahizi najikuta hata hilo swala haliniingii kabisa akilini kiukweli
Maswala ya show mbovu ni skendo kiukweli kama nilivyotangulia kusema . Ila swala la Mchizi kujipiga kitanzi kwa Kusalitiwa ni ukweli kabisa. Na kwanini nidanganye sasa Mkuu tena kwenye issue ya kifo
Mkuu kwa unavofikiri, nadhani unahisi labda hii hali inanipa shida sijui kuniongezea Ashki , lakini hapana kabisa.
Unadhani Mababu zetu zamani waliishi vipi? Kwasabu kupata Mwanamke wakupunguza izo manii kwa Zamani kidogo haikua rahisi , na ndo maana asilimia kubwa zaidi ya wanawake waliolewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.