Recent content by Fortunata

  1. F

    Nape ni mwanzilishi wa CCJ

    Inasikitisha sana Taifa lisilokuwa na uzalendo. Haya ndiyo matokeo ya kubebana, hurumahuruma kumbe ufisadi mtupu! bado naamini CCM hakuna kitu, ni ujanja ujanja tuuuu, hakuna cha kujivua gamba wamba kujichuna ngozi, gamba limeshakomaa hilo, la kobe linaadhali unategemea nini? wazalendo wa kweli...
  2. F

    Malaysian firm picked to produce Tanzania National IDs

    nimefarijika kuona jinsi wabongo tunavyoumiza vichwa katika masuala nyeti na msingi. Kwa hili la vitambulisho vya Taifa ni mapema mno kuanza kuhukumu na pengine kuhusisha hata baadhi ya watu na kashfa bila ushahidi. kwa wasiomjua Maimu hicho ni kichwa na kifaa, tungekua na wabongo wanne wa iana...
Back
Top Bottom