Recent content by fortinatus

  1. F

    Tatizo la Samsung Galaxy s7 edge

    Mm nizipenda sana samsungu licha ya kuwa nyingine zina shita au changamoto tunakutana nazo lakni naombeni ushauli ninunie simu gani ambayo itanipa laha ahhana na tecno nataka sansungu kati ya s vs note maana hizi ndio samsungu kweli sio wanao ninia lisence na kujiita samsungu.
Back
Top Bottom