Wakati mwingine tunapoongea maneno ya kukatisha tamaa Vila kuwa na hoja ya kujifunza tunakosea haya mambo ya imani ni magumu sana inatakiwa tushirikiane katka kueleweshana wakuu hamna aijuaye dini yake au ukweli wa dini yake kwa asilimia mia ila kupitia kujifunza ndio tunapata ukweli na ktk...
Hii maada ya mleta Uzi ilikuwa nzuri sana isingekuwa watu wanajibu kulingana na dini zao sasa wanakatisha tamaa tu badala ya kutaka kujua zaidi Mimi naamini mleta Uzi alikuwa anajua mengi zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.