Recent content by forma

  1. F

    Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

    Kweli kabisa huwezi jua utatokea wapi,nitakutafuta
  2. F

    Natafuta kazi ya stationary

    Tusaidiane wana jf,mm pia nimesoma full sectarial course pamoja na Hotel management lkn kila napoenda kuomba kazi naambiwa nafasi hamna,ukibahatika unaambiwa acha cv kuitwa majaariwa.tena bora umkute reception wa kiume anaweza kuzifikisha kwa mhusika,ila siye
  3. F

    Natafuta kazi ya stationary

    Du!kweli ajira zimekuwa ngumu,hasa kwetu sisi wa dada mpaka unafikiri kujiingiza kwenye mambo yasiyo takiwa ili mkono uende kinywani,mm pia nishahangaika sana bila mafanikio, watu wanajiajiri kwa kujuana, uji
  4. F

    Mdada wa kuuza duka la vipodozi anahitajika

    Naomba mm hiyo kazi ila nakaa biafra, kuhusu kuwahi sina tatizo kwani sina mtu wakunichelewesha asubuhi,nitashukuru nikiipata hiyo nafasi.ahsante.
  5. F

    Nafasi ya kazi kwa mtu mwaminifu sana

    1.nishawahi kunidanganya sana,ila kwa kitu chenye faida.na sijawahi jutia. 2.sijawahi kudhurumu wa kuiba,kwasababu kufanya hivo nikujirudisha nyuma kimaendeleo na kujikosesha uaminifu kwa tamaa zako ukaishia kujuta na usitimize lengo lako. 3.msema ukweli mpenzi wa mungu mm nitamuuzia hiyo 100...
  6. F

    Nafasi ya kazi kwa mtu mwaminifu sana

    Kiukweli kabica sisi kina dada ndo tunaongoza kwa kuwa wasiri na waaminifu hasa mkoa niliotokea mm tunasifika sana kwa uchapa kazi na niwaoga sana kudokoa mali ya mtu.ukinihitaji pia hata mm naweza siyo na hutoamn kwann hukunipata siku nyingi,
  7. F

    Sales girl/ msichana wa kuuza duka anahitajika

    Ukiona hivo hiyo namba haijawekwa na muhusika kunamtu alishika sm yangu akaiweka hiyo no!mwisho 3787
Back
Top Bottom