Ni kweli stand up comedy ni ngumu ila haizidi forex trading. Hii kazi unaweza kufanya hata miaka 10 nausitoboe, haitakiwi ujanja ujanja kama kazi nyingine.
Kutoboa kwenye forex unatakiwa uwe super intelligent. Ukiweza kufanya forex na ukafanikiwa basi wewe ni legend hakuna brain work yoyote...
Umedescribe very clear mfumo mzima wa maisha ya kijana wa tanzania. Hizo ndio sababu za kweli zinazomuweka mbali na mafanikio kijana kutoka kaya maskini. Safari ni ndefu na ngumu sana, kila mtu abebe msalaba wake na kila mtu aokoe nafsi yake.
Labda hujaelewa, what i mean is this hii thread sio ya kumfundisha mtu from zero hii thread ni specific kwa wale ambao tayari wameshajifunza na wanaelewa discussion iliyopo mezani so hapa tunapeana maujanja zaidi ya kusaka pips ili tuwe profitable zaidi.
Sipo hapa kuomba strategy wala signals ninajua ninachofanya na ninachopata kinanitosha.
Main purpose ya hii thread ni kuwapa maarifa traders ambao wamestruggle muda mrefu bila mafanikio kwenye hii biashara.
Mathematics is simple and Trading is simple as well, unachohitaji ni formula na...
Ukianguka unajitafuta tena unarudi kazini kuacha sio option unaingia chimbo ukirudi unaendelea ulipoishia safari ndio inakua rahisi. Trading ni simple ila watu hawana concepts zake shida ndio inaanzia hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.